Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa wewe ndio unajichanganya..sikuelewi unataka kumaanisha nni..kwengine mnatuambia more than 45% wako employed kwa formal sector,hapa umeibuka na 75% ni wakulima..which is which
kama unabisha we google uone watanzania wangapi wakulima ndio utajua nachokwambia nini😀😀😀😀😀
sasa swali langu je wakulima ni employed??????
 
kama unabisha we google uone watanzania wangapi wakulima ndio utajua nachokwambia nini😀😀😀😀😀
sasa swali langu je wakulima ni employed??????
wakulima ni informal employment..alafu leta hizo data zako apo za formal employment utaona jinsi unajikanganya
 
sasa wewe ndio unajichanganya..sikuelewi unataka kumaanisha nni..kwengine mnatuambia more than 45% wako employed kwa formal sector,hapa umeibuka na 75% ni wakulima..which is which

Tuanze na hapa kwanza kwikwikwikwi

Kenya
upload_2017-7-28_14-54-20.png


Kenya Unemployment Rate | 1999-2017 | Data | Chart | Calendar | Forecast

Tanzania
upload_2017-7-28_14-56-11.png

Tanzania Unemployment Rate | 2001-2017 | Data | Chart | Calendar | Forecast
 
umeruka neno informal kimaksudi au unataka kupindisha taarifa iendani na vile unavyotaka.....
maana yake informal hawapo kwenye system sawa????😀😀😀😀😀😀
hawatambuliki kama employed
 
my point is farmers are not employed wao wamejiajiri wenyewe 😀😀😀😀😀
good...so kama famers hawako employed na umesema farmers ni more than 75%..does it mean the 25 % ndio wameajiriwa pekee tz?
 
good...so kama famers hawako employed na umesema farmers ni more than 75%..does it mean the 25 % ndio wameajiriwa pekee tz?
ndio maana yake 75% ni farmers yani kwa kifupi watanzania wengi ni wakulima 😀😀😀😀😀
ndio maana unaona rate of unemployment ni ndogo sana na uzuri wakulima wanajulikana na serekali na wanajulikana through bank loans
 
Back
Top Bottom