saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,170
- 1,356
tumekubaliana am jobless..mbona unabaki tu hapo.we umeajiriwaYes most kenyans are jobless like you. Maneno mengi sana na kufanya wizi na utapeli.
tumekubaliana am jobless..mbona unabaki tu hapo.we umeajiriwaYes most kenyans are jobless like you. Maneno mengi sana na kufanya wizi na utapeli.
Ile picha imepigwa Maeneo ya mwanzoni New tegeta...ukweli kabisa kutoka apo ilipopigwa hadi CBD ni umbali wa sio chini ya km 18 mpaka 20 sijui nikitu gani cha kubisha apo
Sent using Jamii Forums mobile app
anhaa but dunia inapozungumza kuhusu unemployemt rate kubwa kenya usikatae sasa😀😀😀😀😀naeza ongea juu yangu peke yake..sijui wengine wanatengeneza pesa kivipi.kila mtu na mipangilio yake
You can't compare that Sonko warehouse to this young boy house in Dar es salaam.View attachment 552464 View attachment 552465
tatizo mnakosa kuelewa tunajadili nni..hakuna mtu amepinga hiyo taarifa.ninachosema nikua hiyo report inaangalia formal sector.wale ambao wameajiriwa na government na the private sector..kuna wengine wamejiajiri wenyewe kwa sector mbalimbalianhaa but dunia inapozungumza kuhusu unemployemt rate kubwa kenya usikatae sasa😀😀😀😀😀
Your wrong my friend. In our country most of people self employed in agriculture which is not formal. Wewe hapo unafanya deal ambazo hazieleweki. Zinahesabika kuwa ni utapeli na kupiga domo tu.tatizo mnakosa kuelewa tunajadili nni..hakuna mtu amepinga hiyo taarifa.ninachosema nikua hiyo report inaangalia formal sector.wale ambao wameajiriwa na government na the private sector..kuna wengine wamejiajiri wenyewe kwa sector mbalimbali
This goes around to send a clear message, Tanzanians hate Kenyans with a passion, and the bile is coz we are always better than you mpende msipende but that's the reality of thingsKwanini unaona aibu kusema kazi yako? So your job is secret? Kazi za siri pekee ni ujambazi, utapeli na kuzamia Tanzania kuja kufanya wizi kwenye supermarket
Kama huyu hapa
![]()
Au ni wewe?
mbona unajikanganya ivi kijana.....sasa ivi ulikuwa unasema mtu yeyote ambaye hajaajiriwa lazima awe ni tapeli.saa ii umegeuka umeleewa kuna njia nyingi za kujitengenezea maisha kama ukulimaYour wrong my friend. In our country most of people self employed in agriculture which is not formal. Wewe hapo unafanya deal ambazo hazieleweki. Zinahesabika kuwa ni utapeli na kupiga domo tu.
unaju ukizungumza hvo unakosea nakupa mfano mdogo sana most of Tanzanians are farmers more than 75% so unataka kuniambia wakulima ni employed??????? 😀😀😀😀😀😀😀😀 au wamejiajiri wenyewetatizo mnakosa kuelewa tunajadili nni..hakuna mtu amepinga hiyo taarifa.ninachosema nikua hiyo report inaangalia formal sector.wale ambao wameajiriwa na government na the private sector..kuna wengine wamejiajiri wenyewe kwa sector mbalimbali
Hahaha you are better than us in thievery and robberyThis goes around to send a clear message, Tanzanians hate Kenyans with a passion, and the bile is coz we are always better than you mpende msipende but that's the reality of things
Better on what? may be your stupid thus why unaongea hivyo. Tell me who is better between You and me?This goes around to send a clear message, Tanzanians hate Kenyans with a passion, and the bile is coz we are always better than you mpende msipende but that's the reality of things
Usigemeralize huo ujinga wako tafadhali...kama wewe mwenyewe hujipendi nani akupende?This goes around to send a clear message, Tanzanians hate Kenyans with a passion, and the bile is coz we are always better than you mpende msipende but that's the reality of things
sasa wewe ndio unajichanganya..sikuelewi unataka kumaanisha nni..kwengine mnatuambia more than 45% wako employed kwa formal sector,hapa umeibuka na 75% ni wakulima..which is whichunaju ukizungumza hvo unakosea nakupa mfano mdogo sana most of Tanzanians are farmers more than 75% so unataka kuniambia wakulima ni employed??????? 😀😀😀😀😀😀😀😀 au wamejiajiri wenyewe
Wapi umeambia hivyo? Leta maelezo kamili jobless.sasa wewe ndio unajichanganya..sikuelewi unataka kumaanisha nni..kwengine mnatuambia more than 45% wako employed kwa formal sector,hapa umeibuka na 75% ni wakulima..which is which
acha kudandia treni kwa mbele kijana...haikuelekezwa kwako hiyo taarifa.punguza mihemko ujadili kwa ustaarabu.nmekuuliza swali lako hujalijibu unarukia la mwenzakoWapi umeambia hivyo? Leta maelezo kamili jobless.