Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20170728-163159.jpg
 
Unemployment Kenya ni kubwa maana sekta kubwa ambayo watu wangetumia kujiajiri ni kilimo ,sasa kama ardhi ya kenya inamilikiwa na kundi ndogo la ma bwanyenye lazima watu warande rande mitaa ya Nairobi na kulala bustani za kupumzika wakiwa na bahasha za kaki
Huu sasa niuongo

spensa_e
 
Unemployment Kenya ni kubwa maana sekta kubwa ambayo watu wangetumia kujiajiri ni kilimo ,sasa kama ardhi ya kenya inamilikiwa na kundi ndogo la ma bwanyenye lazima watu warande rande mitaa ya Nairobi na kulala bustani za kupumzika wakiwa na bahasha za kaki
Huu sasa niuongo

spensa_e
 
Saadeque stop explaining yourself to these Tanzanians. ......it will be a game of musical chairs to eternity coz they dont understand how kenyans operate

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona na ww umejiajiri kama watchman wa kujitegemea apo Nairobi, jikaze kiume la sivyo pesa ikipiga chenga utachezea kichapo cha mke wako kama kawaida Kenyans wanaume wanapigwa na wanawake

spensa_e
 
Then use Swahili...usijiabishe

sent from iPhone 7
Kwikwikwikwikwi.
I told you, am not a slave like you. And put it in your stupid mind that, english is my 5th language.
Kwahiyo ondoa ushamba wa kushobokea lugha za wengine.
Umekula lakini kijana!?
 
mwenzako
Pazii amesema vizuri nkamuelewa sana.wewe unashindwa kujieleza ueleweke.na amesema vizuri farmers informal.sawa mzee
We jamaa mgumu sana kuelewa, mwalimu wako alipata shida mno;

tunaposema employment rate TZ ni kubwa tunamaanisha any kind of legal job inayompa mtu kipato sio white collar jobs/kukaa ofisini pekee. Hapo wamejumlishwa wakulima, wavuvi, wafugaji, wawindaji, wafanya biashara kubwa na ndogo, wafanyakaz , maofisini na nyingine zote halali.

sasa mnaposema eti Kenya employment rate ni ndogo kwakua wengi wamejiajiri sio kweli na upungufu wa maarifa vichwani mwenu, coz hyo rate inajumlisha walioajiriwa na kujiajiri pia, yaani any sector halali inayotambulika kisheria, sasa labda mtuambie wengi wenu mmejiajiri kwenye kazi zisizo halali that's why hamtambuliki yani kama ukabaj, pombe haramu, utapeli, kupiga ramli n.k.

So it means majority of Kenyans don't have recognized job, yani kazi mfanyazo hazitambuliki na nchi yenu wala mashirika ya kimataifa.

Halafu tukiwaambia uchumi wa Kenya ni mkubwa lakini hauwasiadii nyie wakenya mliopo humu mnakataa; hebu jiulize kitu; population yenu ni ndogo kuliko Tanzania na mnajidai kila siku kua huko kwenu kuna viwanda vingi na mashirika mengi yameweka HQ Nairobi sasa kwanini mkose ajira kuliko Tanzania kwenye watu wengi na viwanda vichache plus mashirika machache?

Hapo ndo mjue huo uchumi wa kwenye makaratasi hauwasaidii chochote, mnamaisha magumu, coz nyie mlipaswa workforce yenu iwe absorb na hivyo viwanda na mashirika mlonayo hadi watu wa nchi nyingine tuje huko kujaza nafasi zilizokosa wakenya, but it is vise versa, am very sure kwenye hivyo viwanda na mashirika wamejaa wazungu wenyewe nyie wote mpo kibera, kazi kutuma mipicha tu na ststistics ambazo hazina impact in your real life as pure Kenyans.
 
.......yawnnnn........oh Kenya oh Kenya oh Kenya .......keep yapping.......next
 
maskini na maskini... yaani ldc sq. weuwe!
[HASHTAG]#laggards[/HASHTAG]
 
tunaposema kwamba nairobi ni gangland wakenya hulalamika kwa kulia kama watoto.

ona sasa,wakora wamechukua roho ya mchezaji kinda wa rugby. SMH.

yaani ile high rate of unemployment katika kenya, imesababisha roho za vijana kuwa na ukatili usio na mfano.

ukute huyu mcheza rugby aliuliwa kwa sababu ya simu ya tecno tu.

ndio maana ninapokuwa nairobi,nakuwa radar 24/7.siamini mtu.

RIP youngest rugby player.
531109e91bc0d1a4543420ee8cf254ce.jpg
3d5d5188a33e3cb2da23f685d6bfd586.jpg
496ac032291fae4c98c1314bdc51338a.jpg
 
as usual you are the ones who come over to kenya as beggers and employees.....fika gikomba pia usalimie wabongo wenzako....wanaskumanga mikokoteni huko pia
 
View attachment 552794View attachment 552795View attachment 552797

Nairobi Kenya city center nimepiga picha izi mwenyewe , nikiwa natembea kutokea kicc kueleka Nacico plaza , hii ndio real picha za Nairobi bila kuwa na photos effects

spensa_e
hehehehe...comrade angalia hawa nyang'au wasije wakakusubiri boda ya namanga wakati unarejea bongo ili wakuteke.

kuwa makini sana na wakenya comrade. mkenya kuua mtu kwa kosa dogo ni kawaida sana kwao.

hizi picha zitakuwa zimewaumiza sana.
 
Back
Top Bottom