Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwenzako
Pazii amesema vizuri nkamuelewa sana.wewe unashindwa kujieleza ueleweke.na amesema vizuri farmers ni uneployed meaning hiyo hayo itakua informal.sawa mzee
hahahah kiswahili kigumu naona ndugu😀😀😀😀😀😀😀😀
sasa 40% unemployment rate in kenya ndio hio tafuteni means ya vijana wapate ajira
asante kwa kushiriki
 
Screenshot_20170728-151818.jpg
 
Wewe ungesaidia Ichoboy na si ukweli at ni 75% ya umeployed ni farmers... Agriculture employs 75% of the workforce. Farming ni employment kama kazi zingine tu.
That is another case. unaposema agriculture employs 75% of the worforce tunamaanisha even those working in milk, juice companies and the like. Agriculture is a very broad thing mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mayb kiswahili kigumu kwako😀😀😀😀😀😀
hivi ndio nmesema
saadeque said:

tatizo mnakosa kuelewa tunajadili nni..hakuna mtu amepinga hiyo taarifa.ninachosema nikua hiyo report inaangalia formal sector.wale ambao wameajiriwa na government na the private sector..kuna wengine wamejiajiri wenyewe kwa sector mbalimbali

jibu lako hili hapa .....
unaju ukizungumza hvo unakosea nakupa mfano mdogo sana most of Tanzanians are farmers more than 75% so unataka kuniambia wakulima ni employed??????? 😀😀😀😀😀😀😀😀 au wamejiajiri wenyewe..
apo umesema nni kama sio 75% ya tanzanians are farmers.jifunze kujieleza kijana
 
hivi ndio nmesema
saadeque said:

tatizo mnakosa kuelewa tunajadili nni..hakuna mtu amepinga hiyo taarifa.ninachosema nikua hiyo report inaangalia formal sector.wale ambao wameajiriwa na government na the private sector..kuna wengine wamejiajiri wenyewe kwa sector mbalimbali

jibu lako hili hapa .....
unaju ukizungumza hvo unakosea nakupa mfano mdogo sana most of Tanzanians are farmers more than 75% so unataka kuniambia wakulima ni employed??????? 😀😀😀😀😀😀😀😀 au wamejiajiri wenyewe..
apo umesema nni kama sio 75% ya tanzanians are farmers.jifunze kujieleza kijana
hahahah so hutaki au unabisha😀😀😀😀😀😀😀😀 narudia kukwambia zaidi ya 75% watazanzia ni wakulima kama unabisha sema tu
 
hahahah so hutaki au unabisha😀😀😀😀😀😀😀😀 narudia kukwambia zaidi ya 75% watazanzia ni wakulima kama unabisha sema tu
hahaa...wewe nikapuku.naona watz wenzako wanakusoma apa wakikucheka.wacha nikuitie huyu mwenzako aje akuskie..
Pazii njoo sasa umskie huyu mwenzako ebu
 
hahaa...wewe nikapuku.naona watz wenzako wanakusoma apa wakikucheki.wacha nikuitie huyu mwenzako aje akuskie..
Pazii njoo sasa umskie huyu mwenzako ebu
mm nataka ubishe tu we bisha alafu uone😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
personally am an engineer by profession but sijaajiriwa na private sector wala serikali...napiga deals zangu tu na nala hela ndefu kulio walio ajiriwa
Unemployment Kenya ni kubwa maana sekta kubwa ambayo watu wangetumia kujiajiri ni kilimo ,sasa kama ardhi ya kenya inamilikiwa na kundi ndogo la ma bwanyenye lazima watu warande rande mitaa ya Nairobi na kulala bustani za kupumzika wakiwa na bahasha za kaki

spensa_e
 
Back
Top Bottom