Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 2019117iyo picha hapo juu imepigwa kutokea makumbusho kuelekea Moroko, by the way hayo majengo marefu hapo chini Sky tower, melenium towers, Victoria noble center, Victoria palace, treasure Victoria apartments tin tower na mengine mengi kama yanyoonekana kwenye picha hapo(yapo mtaa wa makumbusho), nyuma ya majengo ya kulia neerby Sky tower panafanana hivi 👇View attachment 2019076
Nyuma ya majengo ya kushoto (melenium tower) huo mtaa unaitwa mikocheni panafanana hivi 👇 View attachment 2019078View attachment 2019080View attachment 2019081View attachment 2019083View attachment 2019084View attachment 2019086au umeona slum hapo ...? And my mind you haya ni makazi ya watu wa kawaida tu .. alafu eti ndio ulinganishe na huu uchafu 👇View attachment 2019087ni kichaa pekee ndio anaweza kuwaelewa .. tukisema hapo ni up coming CBD hatukosei.. ngoja nikuletee kwa ukaribu majengo ya biashara/HQs yanayopatikana hapo kwa hiyo road ambayo labda huwezi kuyaona vizuri kwenye hizi picha 👇View attachment 2019097View attachment 2019098View attachment 2019099View attachment 2019100View attachment 2019110View attachment 2019113View attachment 2019114alafu eti kweli mnakuja kutukosea adabu na huo mtaa ulio empty .?
Naongea na wewe Nicxie
Sasa tangu lini office buildings yakawa makazi ya watu? Nauliza hivyo coz nyingi za picha ulizoweka ni office buildings
 
Lang'ata
images(31).jpg
images(31).jpg
images(33).jpg
images(30).jpg
images(36).jpg
images(37).jpg
images(32).jpg
images(35).jpg
2c141565049d42eb832a35ca483b6434.jpg
 
Sasa tangu lini office buildings yakawa makazi ya watu? Nauliza hivyo coz nyingi za picha ulizoweka ni office buildings
Hilo ni eneo ambalo linaendelea(developing area) Tz hasa Dar es Salaam hakuna mapori, Ili ujenge ni lazima uvunje nyumba ya zamani ndio ujenge nyumba mpya (gorofa) .. huo upande ambao haujaendelea sana ndio unaojengwa sana kwa kasi .. and that's why mtu wa kawaida ni ngumu kujenga mjini kati, kinachoendelea ni kwamba watu wenye hela nyingi hununua nyumba za zamani na kujenga ima ni hotel au office buildings.. kwa mfano Magomeni, Manzese, Kinondoni, Sinza haya maeneo miaka mitano tu nyuma yalikua yamejaa unplanned settlements lakini kwasasa kuna gorofa nyingi tu zilizohengwa na zinazoendelea kujengwa kila siku, ni vile tu Dar hakuna wapiga picha, ningekuonyesha.. nakuibia siri kidogo umeona nyumba nyingi Dar ambazo zimekaa hovyo hovyo mnazotubeza nazo kila siku, ni Nyumba za urithi tu (zilijengwa zamani), siku hizi ni biashara, zinauzwa pesa ndefu kwa wanaokuja kuendeleza hayo maeneo halaf waliokuwa wakimiliki hukimbilia huko remote areas kujenga nyumba zao..
 
07 November 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Dar es salaam Nyerere road (looks) in 2021



Nyerere road is the road which starts from Julius Nyerere International Airport (JNIA) to Dar es Salaam city center. This is a very important road in Dar es salaam Tanzania as its the gateway to Dar es Salaam city center. Its in this road that Mfugale flyover was built and in this video you will get a chance to see that famous flyover

Source : The Boss TV
 
13 November 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Dar es salaam Ali Hassan Mwinyi Road ( Looks ) in 2021



Ali Hassan mwinyi road is the important road in the city of dar es salaam as it houses several embassies and businesses, its quiet and calm and very beautiful road as you will see in this video

Source : The Boss TV
 
Wivuuu, by 2022 Tanzania itakua inazalisha 5000MW umeme wa maji, Bei ya unit Moja itakua ni ndogo mara mbili ya Kenya, lazima viwanda vyenu vitashindwa kupambana kibiashara
Kwani saivi bei ya umeme Kenya ni kubwa mara ngapi ya Tanzania?
 
View attachment 2019117iyo picha hapo juu imepigwa kutokea makumbusho kuelekea Moroko, by the way hayo majengo marefu hapo chini Sky tower, melenium towers, Victoria noble center, Victoria palace, treasure Victoria apartments tin tower na mengine mengi kama yanyoonekana kwenye picha hapo(yapo mtaa wa makumbusho), nyuma ya majengo ya kulia neerby Sky tower panafanana hivi View attachment 2019076
Nyuma ya majengo ya kushoto (melenium tower) huo mtaa unaitwa mikocheni panafanana hivi View attachment 2019078View attachment 2019080View attachment 2019081View attachment 2019083View attachment 2019084View attachment 2019086au umeona slum hapo ...? And my mind you haya ni makazi ya watu wa kawaida tu .. alafu eti ndio ulinganishe na huu uchafu View attachment 2019087ni kichaa pekee ndio anaweza kuwaelewa .. tukisema hapo ni up coming CBD hatukosei.. ngoja nikuletee kwa ukaribu majengo ya biashara/HQs yanayopatikana hapo kwa hiyo road ambayo labda huwezi kuyaona vizuri kwenye hizi picha View attachment 2019097View attachment 2019098View attachment 2019099View attachment 2019100View attachment 2019110View attachment 2019113View attachment 2019114alafu eti kweli mnakuja kutukosea adabu na huo mtaa ulio empty .?
Naongea na wewe Nicxie

IMG_6631.jpg

IMG_6632.jpg

More photos
 
Now wameshaanza na mpango wa kujenga Bandari Mpya,

Tanzania tumempoteza mtu mwerevu na jasiri sana... Hiyo Gharama ya Kujenga Bandari Mpya wangewekeza kwenye Bandari zilizopo, na kuunda Industrial Parks tungekuwa Mbali.

Tanga ndio Mji wa Kwanza Tanzania kuwa Halmashauri, na Wajerumani waliiona Tanga Kama Strategic Area kuliko Hata Dar, Bandari ya Tanga ina potential Kubwa sana
Hii Bandari masharti ya mkataba yakiwa mazuri italeta faida kubwa.
Wakenya na wa South Africa hawaitaki kabisa kuisikia Maana itaua Bandari zao.

Ujenzi wake kwanza unasababisha gdp ya nchi kuongezeka ni mradi mkubwa wa kwanza Afrika

Na hivi karibuni Dubai port watajenga Matanki makubwa ya kuhifadhi mafuta Dar port hata wakenya watakuja Tanzania kununua mafuta kwa Bei nafuu
 
Hilo ni eneo ambalo linaendelea(developing area) Tz hasa Dar es Salaam hakuna mapori, Ili ujenge ni lazima uvunje nyumba ya zamani ndio ujenge nyumba mpya (gorofa) .. huo upande ambao haujaendelea sana ndio unaojengwa sana kwa kasi .. and that's why mtu wa kawaida ni ngumu kujenga mjini kati, kinachoendelea ni kwamba watu wenye hela nyingi hununua nyumba za zamani na kujenga ima ni hotel au office buildings.. kwa mfano Magomeni, Manzese, Kinondoni, Sinza haya maeneo miaka mitano tu nyuma yalikua yamejaa unplanned settlements lakini kwasasa kuna gorofa nyingi tu zilizohengwa na zinazoendelea kujengwa kila siku, ni vile tu Dar hakuna wapiga picha, ningekuonyesha.. nakuibia siri kidogo umeona nyumba nyingi Dar ambazo zimekaa hovyo hovyo mnazotubeza nazo kila siku, ni Nyumba za urithi tu (zilijengwa zamani), siku hizi ni biashara, zinauzwa pesa ndefu kwa wanaokuja kuendeleza hayo maeneo halaf waliokuwa wakimiliki hukimbilia huko remote areas kujenga nyumba zao..
Eti Dar hakuna wapiga picha? 😂 😂
That sums it up!
 
Back
Top Bottom