Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi




Wakenya hamna akili
JamiiForums712392379.jpg
 
Kitu hamuelewi ni kwamba hayo mashirika mawili do their own analysis of the figures they get from the respective countries to ascertain the correctness of that data before publishing them ndio maana data wanazotoa ni vigumu kupata mtu anazipinga (save for Tanzanians of course ).

IMF or WB don't just wake up one morning and publish data from Kenya or Tanzania or any other country without doing due diligence first. Experts from IMF or WB must first do a review of their own forecast data and compare them with those of the government. Wakipata kuna udanganyifu mahali watakataa hiyo data jinsi IMF walivyofanya kuhusu taarifa propagandist wenu Magufuli alitoa kuhusu ukuaji wenu wa uchumi in 2019. The below articles talk about it in depth.



About cooking data, You now know which one between these two countries cooks her data.

Endeleeni kupiga kelele na kukataa kila aina ya data huku mkiendelea kusoma number yetu
Kwahiyo kuhusu Wakenya wengi kufa kwa njaa pia ni cooked data

Wakenya hamna akili
 
Aliyekataa ni nani? Unafikiri sisi Ni Kama nyinyi wasiokubaliana na ukweli?
Kama ni hivyo unakubaliana kwamba kenya kuna watu wanakufa njaa while there's no cases like that in Tz, then ni wapi Kati ya tz na Kunya, kuna extreme poverty .? Je huoni hizo data za WB ni uongo.?
 
Kama ni hivyo unakubaliana kwamba kenya kuna watu wanakufa njaa while there's no cases like that in Tz, then ni wapi Kati ya tz na Kunya, kuna extreme poverty .? Je huoni hizo data za WB ni uongo.?
Nilishawaambia mpeleke malalamishi yenu WB. Mbona hamsikii? WB ni waongo wakisema ufukara umekithiri Tanzania, ila sio waongo pale wanaposema Tanzania imejinasua kutoka ile dimbwi la LDC mlipokuwa. Why must it just be good music to your ears when Tanzania is mentioned positively but a bitter pill when it's mentioned negatively by the same bodies? Very funny people!
 
Nilishawaambia mpeleke malalamishi yenu WB. Mbona hamsikii? WB ni waongo wakisema ufukara umekithiri Tanzania, ila sio waongo pale wanaposema Tanzania imejinasua kutoka ile dimbwi la LDC mlipokuwa. Why must it just be good music to your ears when Tanzania is mentioned positively but a bitter pill when it's mentioned negatively by the same bodies? Very funny people!
Na ndio nakwambia akili zako zisiwekewe mipaka, umesoma wapi wewe.? Kitu ambacho ni kweli na kinaonekana wazi lazima tunakubaliana nacho haijalishi kasema nani, na kitu ambacho ni uongo na kinaonekana wazi pia hatuwezi kukubaliana nacho, sisi wabongo akili zetu hazijaathirka na mipaka aliyoweka mzungu kufikiri kwa waafrika waliowengi.. historia yetu sisi ni NAM hatufungamani na upande wowote, hatupelekwi hovyo sisi
 
Na ndio nakwambia akili zako zisiwekewe mipaka, umesoma wapi wewe.? Kitu ambacho ni kweli na kinaonekana wazi lazima tunakubaliana nacho haijalishi kasema nani, na kitu ambacho ni uongo na kinaonekana wazi pia hatuwezi kukubaliana nacho, sisi wabongo akili zetu hazijaathirka na mipaka aliyoweka mzungu kufikiri kwa waafrika waliowengi.. historia yetu sisi ni NAM hatufungamani na upande wowote, hatupelekwi hovyo sisi
Sisi ndio nchi ya Africa pekee yenye watu wenye akili timamu, na ndio maana hutaskia vita au ujinga wowote kama ambavyo nchi zote za Africa hufanya, hao wazungu wenyewe wanalijua hilo, na ndio maana huku biashara za hovyo kama hiyo SGR, lamu port na Express way hazitikei huku kwasababu wazungu wanajua kwamba sisi tuko na mentality ya kujitegemea wenyewe tangu kitambo.. skiliza hapa history ya Magufuli ili ujue sisi ni akina nani hapa AFRICA 👇. Naongea na wewe Nicxie
 
Na ndio nakwambia akili zako zisiwekewe mipaka, umesoma wapi wewe.? Kitu ambacho ni kweli na kinaonekana wazi lazima tunakubaliana nacho haijalishi kasema nani, na kitu ambacho ni uongo na kinaonekana wazi pia hatuwezi kukubaliana nacho, sisi wabongo akili zetu hazijaathirka na mipaka aliyoweka mzungu kufikiri kwa waafrika waliowengi.. historia yetu sisi ni NAM hatufungamani na upande wowote, hatupelekwi hovyo sisi
Sisi kwanza hatuna hata kawaida ya kuongopa mzee, hata madudu yanayotokea nchini mwetu tunayajadili humu ndani na wote mnaona, ukiona kitu tumeshkilia bango na kukipinga vikali ujue huo ni uongo (hicho kitu ni cha kutengeneza/taarifa zisizo na uhakika), sasa sio watu wa kujikweza babu hujatuelewa tu bado.? Nicxie
 
Na ndio nakwambia akili zako zisiwekewe mipaka, umesoma wapi wewe.? Kitu ambacho ni kweli na kinaonekana wazi lazima tunakubaliana nacho haijalishi kasema nani, na kitu ambacho ni uongo na kinaonekana wazi pia hatuwezi kukubaliana nacho, sisi wabongo akili zetu hazijaathirka na mipaka aliyoweka mzungu kufikiri kwa waafrika waliowengi.. historia yetu sisi ni NAM hatufungamani na upande wowote, hatupelekwi hovyo sisi
Akili zako/zenu zimewekewa mipaka ndio maana mlingoja WB itoe taarifa kwamba mlitoka lile kundi la LDC. Wewe na watanzania wenzako ambao 'Wamesoma' na wanajua kile ambacho ni ukweli na kile ambacho ni uongo mbona hamkutumia hiyo masomo yenu na kujua kwenu kujiamulia ni wakati gani mwafaka wa kutoka LDC? Mbona mlingoja mzungu awaambie kwamba hampo LDC tena? Mbona mzungu alifikiria watanzania waafrika waliowengi na ambao akili zao hazijaathirika na mipaka alizoweka mzungu? Listen to yourself young man before ranting
 
Akili zako/zenu zimewekewa mipaka ndio maana mlingoja WB itoe taarifa kwamba mlitoka lile kundi la LDC. Wewe na watanzania wenzako ambao 'Wamesoma' na wanajua kile ambacho ni ukweli na kile ambacho ni uongo mbona hamkutumia hiyo masomo yenu na kujua kwenu kujiamulia ni wakati gani mwafaka wa kutoka LDC? Mbona mlingoja mzungu awaambie kwamba hampo LDC tena? Mbona mzungu alifikiria watanzania waafrika waliowengi na ambao akili zao hazijaathirika na mipaka alizoweka mzungu? Listen to yourself young man before ranting
We ni tahira kumbe, me nimekwambia vitu vya muhimu unaleta kubishana kama mtoto wa darasa la saba .. eti mbona mlingoja mzungu awatangaze, hiv kweli ni swali la kunuiliza hilo.?
 
Mgao ni kweli jomba sema walikuwa nanakata kwa masaa machache machache ili kutudanganya kuwa ni maintenence ila baada ya kutangaza rasmi sasa ni mgao wa masaa 12 au 8 kwa siku ya mgao ,kabla ya hapo walikuwa wanafanya mzunguko wa haraka yaani kwa siku unaweza kukatwa masaa mawili kisha wanawasha na kukata tena masaa mawili walifanya hivyo kuficha tatizo
Sasa hili tatizo limeanza baada ya Medadi Kalemani kutolewa wazara ya nishati??
 
Sasa hili tatizo limeanza baada ya Medadi Kalemani kutolewa wazara ya nishati??
Ulikuwa unaishi Tzn au ? Tatizo lilianza akiwa Waziri akaishia kutoa matamko hayatekelezeki,akawekwa Makamba nae siku ya kwanza tuu akatoa matamko ya kutoa wiki 2 umeme usikatike ATI atafukuza Meneja lakini wapi..

Unadhani matamko ndio yatazuia ukame?

Lawama kwa Mwendazake na nyie walamba battacks wake,haiingii akilini mumeshindwa hata ku invest reliable and sustainable source hata moja yenye uwezo wa existing hydo dams ndio muendee na Bwawa lenu ambalo hamjui litaisha lini.

Til.1 tuu ilitosha kuweka mtambo wa gas wa mgwat Zaidi ya 300 kwa ajili ya dharura.Wewe na jiwe wako ni majitu majinga Sana eti mnategemea kudura za Mungu.

Saizi mnaharisha huku mumemuachia Samia jumba bovu kila sehemu ni mimba kuanzia madeni makubwa,miradi ya kijinga na upuuzi mwingine.

Miaka 6 hakuna cha maana mlikamilisha,jinga Sana nyie mijitu.
 
We ni tahira kumbe, me nimekwambia vitu vya muhimu unaleta kubishana kama mtoto wa darasa la saba .. eti mbona mlingoja mzungu awatangaze, hiv kweli ni swali la kunuiliza hilo.?
Kwa hivyo si wewe umesema watanzania wana akili na kwamba sio watu wa kuathirika na mipaka walioweka wazungu? IMF kusema hampo tena LDC huoni kama ni mipaka? Na mbona mlikubaliana na hiyo taarifa yao? Mbona hamkujifanyia uamuzi nyinyi wenyewe kama Tanzania na kusema hampo LDC now that nyinyi si watu wa kuwekewa mipaka? Hiyo elimu yenu iko wapi kama bado mnategemea data za wazungu mnaowabeza on another hand?
 
Back
Top Bottom