Kitu hamuelewi ni kwamba hayo mashirika mawili do their own analysis of the figures they get from the respective countries to ascertain the correctness of that data before publishing them ndio maana data wanazotoa ni vigumu kupata mtu anazipinga (save for Tanzanians of course ).
IMF or WB don't just wake up one morning and publish data from Kenya or Tanzania or any other country without doing due diligence first. Experts from IMF or WB must first do a review of their own forecast data and compare them with those of the government. Wakipata kuna udanganyifu mahali watakataa hiyo data jinsi IMF walivyofanya kuhusu taarifa propagandist wenu Magufuli alitoa kuhusu ukuaji wenu wa uchumi in 2019. The below articles talk about it in depth.
A country lauded for its economic growth may not be doing as well as it says
www.economist.com
About cooking data, You now know which one between these two countries cooks her data.
Endeleeni kupiga kelele na kukataa kila aina ya data huku mkiendelea kusoma number yetu