Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huenda watu wetu wanaishi kwenye nyumba za mabati, lakini hali yetu ya umasikini haijafika hapa mlipo. Tatu bora Africa hatupoView attachment 2014123
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Naona wamebadili order, wameondoa Airbus A220-300 wameweka Boing Max 737
Max Hizo zinauwezo zaidi Ya A220 300

Max 9 ndo zilizoagizwa zina range ya 6500km against airbus A220 yenye 6100km..

Zinaweza safirisha watu 190 to 200 per trip compared to 132 ya A220 300

Ila mimi naona wangestick na Airbus kwenye Regional Markets na Boeing 787 kwenye continetal markets..na q400/a220 kwenye domestic market..kwanini nasema hili

Max 9 ni 134mil usd ..na ina range ya 6500km..na watu 200+..ila..Airbus A321LR ina range ya 7400km, watu 200+, ila inabeba mzgo kubwa zaidi .ingawa iko ghali kidogo at 148mil..lakini ..anyways washachagua Max


Max 9 zitatumika sana African Cities, European cities na Middle east..ambapo Boeing 787 haitakuwa profitable during (Low Season) cause of 262 seats za 787 ..mfano
1.Joburg
2.Lagos
3.Dubai
4.Mumbai
5.Istanbul
6.Milan
7.Tel Aviv

Pia inaweza fika US Cities like Newyork, Washington via Dakar, au Lome..

Ila watakuwa forced kutumia 787 kwenye route za london , Amsterdam(7300km , Frankfurt etc cause ya range fupi ya Max 9(6500km)..
wakati wangeorder A321 LR (7400km) au A321xlr(8700km)wangeitumua hadi Low season time muda ambao 787 haiwezi kujaa
 
Max Hizo zinauwezo zaidi Ya A220 300

Max 9 ndo zilizoagizwa zina range ya 6500km against airbus A220 yenye 6100km..

Zinaweza safirisha watu 190 to 200 per trip compared to 132 ya A220 300

Ila mimi naona wangestick na Airbus kwenye Regional Markets na Boeing 787 kwenye continetal markets..na q400/a220 kwenye domestic market..kwanini nasema hili

Max 9 ni 134mil usd ..na ina range ya 6500km..na watu 200+..ila..Airbus A321LR ina range ya 7400km, watu 200+, ila inabeba mzgo kubwa zaidi .ingawa iko ghali kidogo at 148mil..lakini ..anyways washachagua Max
Kwenye hii battle ya aircrafts ni Watz tu hapa ndio tunaongeea, mara tuongelee Airbus a220, mara dreamliner, mara Bombardier, na ss ni Max, wenzetu airline yao inayomilikiwa na foreigners pamoja na Mama Ngina family ina mikweche but nchi kama nchi inamiliki 3 planes chakavu walizozipata baada ya EAC kufa
 
new mangaka mtwara mini bus stage
EB6DC9AF-3F40-4F62-B3D9-1058843679FC.jpeg
FAFE224A-5728-4EC9-8547-ED0E4C964B28.jpeg
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Let's assume hiyo taarifa ya blog yako ni ukweli, na tufanye mahesabu za haraka:

40% of 50m Kenyans ni watu milioni ishirini.

Sasa kati ya 20 million people na 28 million people ni gani nyingi?
 
Let's assume hiyo taarifa ya blog yako ni ukweli, na tufanye mahesabu za haraka:

40% of 50m Kenyans ni watu milioni ishirini.

Sasa kati ya 20 million people na 28 million people ni gani nyingi?
keyword: extreme poverty

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…





 
Back
Top Bottom