Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tanzania ina matajiri mara tatu zaidi ya matajiri wa east africa nzima ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au na hilo unabisha au nyinyi munategemea kwenu matajiri ni wale politicians na familia ya kenyatta
Na mbona Watanzania bado ni masikini per capita kushinda Kenya? Tumewadouble kwenye per capita income.
 
Slum ya Nairobi tu haina barabara zenye hizi specifications, 90% ya streets za Dodoma Zina hizi specifications, wide lanes, signed, sideways, lights, cleaned, decongested

View attachment 2009935View attachment 2009936
Nairobi ikikaririwa na CCM ni tofauti na Nairobi kwa ground.
Hapa ni Kangemi slums. 70% ya barabara ambazo zimekatiza ndani ya slums zina cabro pavement kufikia November 2021 na bado mradi wa kueka kabro kwa kila barabara ndani ya slum unaendelea. Tembea Nairobi ujione mwenyewe.
IMG_20211114_110011.jpg
 
Boss, Unapost jengo moja moja kuonyesha nini? I could do that for Eldoret or Nakuru or Kisumu and would beat that Dodoma of yours by far.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Owky tuanze na Over ten floors buildings.. amua wewe ni mji gani tunaanzanao uko kwenu nje ya NAIROBI na mombasa..
 
Hii reli imechelewa Lakini ilikuwa na sababu za halali kuchelewa haikulipuliwa kama nchi nyingine za afrika .
Kitu kina ubora kama Japan au France .
Pongezi kwa wasimamizi wazalendo

kwa maoni yangu Waturuki wapewe Lot 3 na 4 .
๐Ÿ‘๐Ÿฟ ๐Ÿ‘๐Ÿฟ ๐Ÿ‘๐Ÿฟ
 
Inawezekana sana, mbona wakenya tuliwazidi kwa kuvutia watalii wachache ila tuliwatoza pesa nyingi?

Ukifanya upsell kwa watalii waliopo kwa kuwafanya watumie pesa nyingi zaidi unaweza kuongeza hata mara tatu hiyo $2.6B ndani ya mwaka tuu.

Saikolojia ya mteja ni kuwa ni vigumu sana kukuamini kukupa pesa yake mara ya kwanza, lakini baada ya hapo huhitaji kutumia nguvu nyingi kumuuziua huduma/bidhaa nyingine ya gharama kubwa zaidi.
Bro terrorism ndio iliwapea advantage
 
Nyinyi mna private city yoyote huko Lazyland?
Bro kwahyo unataka kujifanya umesahau kuhusu fumba town sindio au hujui kama Fumba town mji wenye luxurious mansions zaidi ya 500 unamilikiwa na mtanzania .? Owky umewahi kuskia kuhusu HAMIDU CITY mji unaojengwa na mtanzania muuza Chips.? ๐Ÿ‘‡. . . Tanzanians hatuchukui maeneo Ili yaje yajengwe na watu kutoka abroad, sisi tunachukua maeneo na tunawekeza wenyewe, sasa sujui Kati yenu na sisi ni akina nani ni lazy..
 
Back
Top Bottom