Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeanza udaku 😁😂
Kati ya hawa wewe uko wapi!!?
Screenshot_20211112-211206.png
 
Kama Uganda wangepitisha hio pipeline yao Kenya saa hii hio pipeline ingekuwa inatoa mafuta. Lakini walijifanya wajanja wakaamua kupeleka pipeline yao kwa Malazy. Sasa ona bado pipeline imwekwama. Kenya ni watu wachapa kazi, kama wangeileta huku kazi ingekuwa imeisha na pipeline ingekuwa imekamilika.
Maana ninyi mngekojolea mikojo badala ya mafuta ,yakwenu yamewashinda .
 
Back
Top Bottom