Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Thanks for the pictures, now see how Dodoma roads ni vumbi tupu.

2997929_Eqnzp6YXAAAODmk.jpg
Dom ndio council yenye mtandao mkubwa wa lami kuliko council yoyote Tanzania, if you didn't know that

 
Kwani hiyo picha moja ni mimi nd`o nimeipost hapa ama ni wewe?
90% ya wakazi wa dodoma wanaishi kwenye 1 stand residency, quality ya housings za Dodoma ni less than 20% ya Nairobi residents wanaweza kumudu

 
Wakenya wanatuwaza sana Watanzania 😅😅 first, are these people well mentally?

Joblessness ni kama uchizi, huyu fala kakaa Twitter kakosa mtanzania anaegive a fuk kwa mkunya yeyote, suddenly kajigeuza mtanzania ili kujifariji 😅😅 obsession ya hawa wahuni kwa Watanzania ni unbeatable 😆

Screenshot_20211114-063629.png


 
"tunarudisha wawekezaji, wawekezaji wameanza kurudi, mazingira ya uwekezaji kwa sasa yameboreshwa tofauti na awali, Magufuli alifukuza wawekezaji, sasa wawekezaji wana imani na serikali hii, blah blah blah blah"

 
But we didn’t die. You should’ve embraced our way.
Mama Acha apambane na hali yake maana She isn’t good enough at raising funds with domestic sources the way JPM did.
Kama hamkufa then where is Magufuli?
 
Kama Uganda wangepitisha hio pipeline yao Kenya saa hii hio pipeline ingekuwa inatoa mafuta. Lakini walijifanya wajanja wakaamua kupeleka pipeline yao kwa Malazy. Sasa ona bado pipeline imwekwama. Kenya ni watu wachapa kazi, kama wangeileta huku kazi ingekuwa imeisha na pipeline ingekuwa imekamilika.
 
Kama Uganda wangepitisha hio pipeline yao Kenya saa hii hio pipeline ingekuwa inatoa mafuta. Lakini walijifanya wajanja wakaamua kupeleka pipeline yao kwa Malazy. Sasa ona bado pipeline imwekwama. Kenya ni watu wachapa kazi, kama wangeileta huku kazi ingekuwa imeisha.

Kwani nani kakwambia mradi umekwama?
 
Majaliwa yuko vizuri sana, angetutoa, ila ndo hivyo, hana meno, amezungukwa na wapigaji hata hajui ajiweke vipi. Siunakumbuka mama alipobadilisha baraza la mawaziri pale mwanzoni mwanzoni alionekana kuwa na wasi wasi mpaka alipowataja wote na ndipo yeye akaanza kutabasamu.
Nadhani maza amemuacha Kassimu ili tu apate sapoti ya wananchi
 
Back
Top Bottom