Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tumezingua mpila tumeutawala ila hatuna straiker wakuscore kwa upande wa umaliziaji,kisoccer bado tupo nyuma sema tunajitutumua tu,hatuna misingi mizuri ya kuwaandaa wachezaji tunasafari ndefu
Your goalkeeper pia amechoka, alifungwa bao za kirahisi sana, not the first time!! kwanza the first goal!.., it kills morale ya players., next time.,
 
Don YF unapoambiwa Mwanza ni jiji kubwa sio kama tunaiteatea .. hakuna tu wapiga picha wazuri tz ndio kitu mnatuzidi, but honestly sidhani kama Mombasa haiizidi Mwanza kiivyo unavyotaka.. hakuna maajabu yoyote hapo MOMBASA ya kusumbua Mwanza mzee
Mwanza unalinganisha na Mombasa eti? told you, it is your sentimental attachment to your country ndio ina blind objectivity, inaitwa blind patriotism., Dar and Mombasa are not even far apart, difference ni few infrastructures tu.., but Mwanza? la hasha linganisha na akina Arusha, Eldoret etc.,
 
Mwanza unalinganisha na Mombasa eti? told you, it is your sentimental attachment to your country ndio ina blind objectivity, inaitwa blind patriotism., Dar and Mombasa are not even far apart, difference ni few infrastructures tu.., but Mwanza? la hasha linganisha na akina Arusha, Eldoret etc.,
Mzee mbona unaleta ushamba. Unalazimisha vitu ambavyo havipo.
Tukianza
1. Industrial
2. Business
3. Transport
4. Mining
5. Fishing
6. Entertainment
7. Health infrastructures

Hebu weka hizo takataka zako hapa tuone.
Shenz type
 
Sasa wenu alivyofungwa na Uganda 😂😂😂 East Africa football bado sana.
Wetu alifanya blunder tu, sio kufungwa kifala kama Manula, Tz keeper ana dive kama De gea wenu na kuwacha ball inaingia tu kirahisi, even akiwa Simba watch zile mpira amefungwa mingi ni zile zenye angekuwa maakini ange save. Anyway mpira iko West Africa, North na central., next qualifiers lazima timu ya East Africa ifike Afcon na world cup.., tag this post then kwa majaliwa.
 
Wetu alifanya blunder tu, sio kufungwa kifala kama Manula, Tz keeper ana dive kama De gea wenu na kuwacha ball inaingia tu kirahisi, even akiwa Simba watch zile mpira amefungwa mingi ni zile zenye angekuwa maakini ange save. Anyway mpira iko West Africa, North na central., next qualifiers lazima timu ya East Africa ifike Afcon na world cup.., tag this post then kwa majaliwa.
Sasa blunder ya kipumbavu kama hiyo 🤣🤣🤣 stupid goalkeeper.
Ubeligiji unapigwa risasi hapo hapo.
Huo ni uhaini.
 
Lakini Gor ikipata Yanga na Simba lazima tuwapige kama burukenge. 😂😂😂
Are you talking about this 😂😂😂

1636716123065.png
 
Mzee mbona unaleta ushamba. Unalazimisha vitu ambavyo havipo.
Tukianza
1. Industrial
2. Business
3. Transport
4. Mining
5. Fishing
6. Entertainment
7. Health infrastructures

Hebu weka hizo takataka zako hapa tuone.
Shenz type
Mombasa = Dar.., wacha kujichocha 😂 😂 😂 😂 .,
Rank ya African cities by economic output(GDP)., uwezo wa kiuchumi haupati Mwanza in Africa, East Africa ni nairobi, Dar, Mombasa na Kampala., fanyeni utafiti wacha kukurupuka ovyo ovyo..,
1636716243776.png
 
Mzee mbona unaleta ushamba. Unalazimisha vitu ambavyo havipo.
Tukianza
1. Industrial
2. Business
3. Transport
4. Mining
5. Fishing
6. Entertainment
7. Health infrastructures

Hebu weka hizo takataka zako hapa tuone.
Shenz type
Wewe wacha jokes. Hakuna vile tunaweza battle Mwanza vs Mombasa hio ni kukosea Mombasa heshima.
 
Mombasa = Dar.., wacha kujichocha 😂 😂 😂 😂 .,
Rank ya African cities by economic output(GDP)., uwezo wa kiuchumi haupati Mwanza in Africa, East Africa ni nairobi, Dar, Mombasa na Kampala., fanyeni utafiti wacha kukurupuka ovyo ovyo..,
View attachment 2007930
Twende taratibu mwanangu.
Acha papara. Unaweka kitu naweka kitu.
MV VICTORIA MWANZA
1636716377428.png


1636716422656.png


Leta jibu la hii
 
Kwa mpigo huo Tazara na TRC zitafanya kazi kweli ? zisije hujuma ktk mashirika ya umma
Nadhani nyingi zitakuwa zinapiga ruti nchi zinazo tuzunguka.

Halafu siku zote wafanyabiashara wanachagua njia inayofikisha mzigo haraka na kwa bei nafuu...mfano sehemu SGR inafikikisha mzigo siku moja halafu semi inafikisha baada ya siku mbili...wewe utachagua njia gani?

Kwenye usafirishaji kwa kutumia magari makubwa hatuna mpinzani ukanda huu.

SADC tumeikamata balaa.
 
Back
Top Bottom