Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jengo la 88 Nairobi ambalo litakuwa na ghorofa 44 sasa hivi limefikia ghorofa la 16.
01bf5edf-05f2-411a-8670-6de9c173cd0d-png.2343725
 
Kuna video clip nyingi sana za your major towns mnaziita city., Sio drone, street level, za propaganda etc, how do we know Mwanza ain't a city? , Wacha kujitetea., Dar is the only city na it is around 10-20% city look, around CBD., the rest ni sprawling uswazi., with few meaningful standard estates, average living ni ushago type standards.,
Inaewezekana Mombasa kimajengo ikaizidi Mwanza japo nayo inajengeka na kuja kwa kasi pia ila kwenye miundombinu sidhani na kama ikiizidi basi gepu sio kubwa kama unavyohisi naona hii miji inaendana kwa kiwango flani hivi

MWANZA TANZANIA PICHA YA JUU 4K DRONE PHANTOM 4 PRO V2.0 / RAMALEE DRONE CAMERA FLY

Pitia hiyo video uone CBD ya Mwanza
 
hiv watanzania, kuna mtu kweli anafurahia mama kusafiri safir sana ?..
nikiangalia taifa stars tumefungwa na huku naona mama yupo anazurura tu.. nataman nisiingie mtandaon.. vyote vinakera
Inasikitisha sana, lkn kuna wadau humu Jamii Forums wanaunga mkono, ss cjui wako serious au ndio unafki wa mtu mweusi. Mama hakai akatulia daily yupo hewani, ni zaidi ya Kikwete kwakweli, anapokuwa anatoka toka ajue kabisa huku nyuma watu wanagawana chao mapema, na jinsi mama alivyokuwa careless wallahi watu watavuna sn safari hii, huko serikalini watu watagawana kazi watakavyo, tutafanyaje sasa. Mafisadi na mapapa huu ndio muda wao muafaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi inaelekezwa shimoni na mashoga zake mama wameshasanda
Hii nchi inahitaji mtu mwenye uwezo wa computer kama Magu, Watz wala hawana habari na mtu cz mambo yao yanaenda.

Unajua hii nchi tumshukuru sn Mungu, ina kila kitu, haina njaa ina amani, kuna jua kuna mvua, kuna joto kuna baridi, kuna maji kuna vumbi, yn Mungu wkt anaiumba alikumbuka kuweka kila kitu, hali ya hewa zote zinazo wa favour binadamu mpk wanyama na ndiyo maana unaona Watz hawana habari cz wamepewa kila kitu.


Ss tunapotaka na cc tupate maendeleo ya kweli kwa kutumia rasilimali za upendeleo tulizopewa na Mungu inabidi tuwe na kiongozi imara wa kuwalazimisha Watz kwamba haitoshi na msibweteke, but unfortunately viongozi hao ni wachache sana duniani, kwa miaka takribani 60 tumepata viongozi wa kariba hiyo wawili tu, hawa wengine walipambana kwa uwezo wao lkn walichoka kutokana na Watz kuridhika na mazingira waliyojaliwa na muumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaewezekana Mombasa kimajengo ikaizidi Mwanza japo nayo inajengeka na kuja kwa kasi pia ila kwenye miundombinu sidhani na kama ikiizidi basi gepu sio kubwa kama unavyohisi naona hii miji inaendana kwa kiwango flani hivi

MWANZA TANZANIA PICHA YA JUU 4K DRONE PHANTOM 4 PRO V2.0 / RAMALEE DRONE CAMERA FLY

Pitia hiyo video uone CBD ya Mwanza

Don YF unapoambiwa Mwanza ni jiji kubwa sio kama tunaiteatea .. hakuna tu wapiga picha wazuri tz ndio kitu mnatuzidi, but honestly sidhani kama Mombasa haiizidi Mwanza kiivyo unavyotaka.. hakuna maajabu yoyote hapo MOMBASA ya kusumbua Mwanza mzee
 
Back
Top Bottom