Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunaenda kuishusha, wao wako na $7bn kwa ss kama sikosei, ila hii miradi ikikamilika tutagonga $8bn, Magufuli was the real deal.

Sent using Jamii Forums mobile app
Oliver tambo inter airport hua inapokea abiria 20m kwa mwaka...cape town inter airport 10m pax sasa izo facility sisi tunazo? No of hotels zilizopo S.A zinakidhi idadi kubwa ya wageni mm niliwah kufanya kazi kwenye tourism industry na kampuni fulani singependa kuitaja....ilikua ikifika high season hotel za arusha zinajaa hadi moshi kunajaa...vivutio tunavyolakin facility zetu bado hazikidhi idadi kubwa ya wageni
1.JNIA max capacity 8.5M pax
2.KIA Max capacity 1m pax do the maths
 
Oliver tambo inter airport hua inapokea abiria 20m kwa mwaka...cape town inter airport 10m pax sasa izo facility sisi tunazo? No of hotels zilizopo S.A zinakidhi idadi kubwa ya wageni mm niliwah kufanya kazi kwenye tourism industry na kampuni fulani singependa kuitaja....ilikua ikifika high season hotel za arusha zinajaa hadi moshi kunajaa...vivutio tunavyolakin facility zetu bado hazikidhi idadi kubwa ya wageni
1.JNIA max capacity 8.5M pax
2.KIA Max capacity 1m pax do the maths
Kwnn Oliver Tambo inapokea idadi hiyo? Alafu wewe tuusan mbn unakuwa mtu wa ajabu sana wewe, unamaanisha nini kusema hivyo. Au wewe ni mkenya wewe unajificha kwenye kivuli cha u Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is a battle, kwenye battle it means nchi yako haikosei, na ndiyo maana unaona wakunya humu licha ya tabu, shida na ufukara walionao lkn wanapambana hvyo hvyo kiubushi ubishi, inafikia mahali mpk wanajilinganisha na Tz kwenye food security japo haiwezekani kuwa hivyo, that's a real meaning of battle, nchi haikosei, ss km unaona nchi yako inakosea unafanya nn hapa kwenye battle? C uende jukwaa la siasa???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndiyo maana unaona wakunya huwa hawa like picha nzr za Tz, ss wewe unajishaua nn ku like picha zao? Majitu yenye roho mby na husda tunaenda nayo hvyo hvyo kiroho mby hakuna kusifia kama wao wanavyofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oliver tambo inter airport hua inapokea abiria 20m kwa mwaka...cape town inter airport 10m pax sasa izo facility sisi tunazo? No of hotels zilizopo S.A zinakidhi idadi kubwa ya wageni mm niliwah kufanya kazi kwenye tourism industry na kampuni fulani singependa kuitaja....ilikua ikifika high season hotel za arusha zinajaa hadi moshi kunajaa...vivutio tunavyolakin facility zetu bado hazikidhi idadi kubwa ya wageni
1.JNIA max capacity 8.5M pax
2.KIA Max capacity 1m pax do the maths
Ni kweli. SA facilities zao zipo juu sana. Itatuchukua miaka kuwakaribia.
 
cc game over
JamiiForums-787184387.jpg
JamiiForums903093017.jpg
 
Leta hiyo full package yako uchwara.., nje ya Dar hakuna level ya Nakuru.., yani umekosa jibu kabisa😂😂😂., hadi raha
Umerudi tena. Unataka missionary au Doggy Style!?
Mshipi umesimama nataka kukupiga nao.
Twende Kazi...
 
This is a battle, kwenye battle it means nchi yako haikosei, na ndiyo maana unaona wakunya humu licha ya tabu, shida na ufukara walionao lkn wanapambana hvyo hvyo kiubushi ubishi, inafikia mahali mpk wanajilinganisha na Tz kwenye food security japo haiwezekani kuwa hivyo, that's a real meaning of battle, nchi haikosei, ss km unaona nchi yako inakosea unafanya nn hapa kwenye battle? C uende jukwaa la siasa???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako kasema ukweli, maoni yake with substantial facts sio porojo kama wewe Mr. Propaganda, alafu hapa ndani we don't think like you ata kama ni battle, tunaumbua fikra zenu finyu, mnalazimisha mnacho fikiria iwe ni ukweli lakini tunawapea facts! mtapinga hadi mfe, mko na low self esteem na inferiority complex😂, sasa unaona umeandika fikra zako tu, not true, nyie kwa hii battle mnatafita tu porojo ili kujikweza, tumewabana kila kona, tazama picha ulizoweka eti Nakuru slums umeokota google bila kutafuta udhibitisho, Nakuru ain't like that, mko ovyo najua inauma but ukweli utabaki pale pale, wewe andika porojo na post vipicha vya kupotosha tu, Kenya ina paa kimya kimya nyie mnaona njaa na siasa, poleni sio makosa yetu, watu wanajituma nyie mmezubaa😂 I thought ume change, kumbe bado wewe ni ule ule kilaza 😂😂😂😂., Mtanyooka roundi hii.., mtapost slums kwa hasira hadi basi.., Tafuta dawa ya ulcers unaenda kiteseka zaidi na zaidi😂😂😂😂
 
Mwenzako kasema ukweli, maoni yake with substantial facts sio porojo kama wewe Mr. Propaganda, alafu hapa ndani we don't think like you ata kama ni battle, tunaumbua fikra zenu finyu, mnalazimisha mnacho fikiria iwe ni ukweli lakini tunawapea facts! mtapinha hadi mfe, mko na low self esteem na inferiority complex😂, sasa unaona umeandika fikra zako tu, not true, nyie kwa hii battle mnatafita tu porojo ili kujikweza, tumewabana kila kona, tazama picha ulizoweka eti Nakuru slums umeokota google bila kutafuta udhibitisho, Nakuru ain't like that, mko ovyo najua inauma but ukweli utabaki pale pale, wewe andika porojo na post vipicha vya kupotosha tu, Kenya ina paa kimya kimya nyie mnaona njaa na siasa, poleni sio makosa yetu, watu wanajituma nyie mmezubaa😂 I thought ume change, kumbe bado wewe ni ule ule kilaza 😂😂😂😂., Mtanyooka roundi hii.., mtapost slums kwa hasira hadi basi.., Tafuta dawa ya ulcers unaenda kiteseka zaidi na zaidi😂😂😂😂
Nakusubiri hapa au bado unajipanga!?
 
Back
Top Bottom