The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Alafu Don YF usisahau, naomba unitajie jina la ile road nikufundishe kitu 





Sent using Jamii Forums mobile app






Sent using Jamii Forums mobile app






Oliver tambo inter airport hua inapokea abiria 20m kwa mwaka...cape town inter airport 10m pax sasa izo facility sisi tunazo? No of hotels zilizopo S.A zinakidhi idadi kubwa ya wageni mm niliwah kufanya kazi kwenye tourism industry na kampuni fulani singependa kuitaja....ilikua ikifika high season hotel za arusha zinajaa hadi moshi kunajaa...vivutio tunavyolakin facility zetu bado hazikidhi idadi kubwa ya wageniTunaenda kuishusha, wao wako na $7bn kwa ss kama sikosei, ila hii miradi ikikamilika tutagonga $8bn, Magufuli was the real deal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwnn Oliver Tambo inapokea idadi hiyo? Alafu wewe tuusan mbn unakuwa mtu wa ajabu sana wewe, unamaanisha nini kusema hivyo. Au wewe ni mkenya wewe unajificha kwenye kivuli cha u Tz.Oliver tambo inter airport hua inapokea abiria 20m kwa mwaka...cape town inter airport 10m pax sasa izo facility sisi tunazo? No of hotels zilizopo S.A zinakidhi idadi kubwa ya wageni mm niliwah kufanya kazi kwenye tourism industry na kampuni fulani singependa kuitaja....ilikua ikifika high season hotel za arusha zinajaa hadi moshi kunajaa...vivutio tunavyolakin facility zetu bado hazikidhi idadi kubwa ya wageni
1.JNIA max capacity 8.5M pax
2.KIA Max capacity 1m pax do the maths
Kwan nmesema in kibaya apo broKwnn Oliver Tambo inapokea idadi hiyo? Alafu wewe tuusan mbn unakuwa mtu wa ajabu sana wewe, unamaanisha nini kusema hivyo. Au wewe ni mkenya wewe unajificha kwenye kivuli cha u Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. SA facilities zao zipo juu sana. Itatuchukua miaka kuwakaribia.Oliver tambo inter airport hua inapokea abiria 20m kwa mwaka...cape town inter airport 10m pax sasa izo facility sisi tunazo? No of hotels zilizopo S.A zinakidhi idadi kubwa ya wageni mm niliwah kufanya kazi kwenye tourism industry na kampuni fulani singependa kuitaja....ilikua ikifika high season hotel za arusha zinajaa hadi moshi kunajaa...vivutio tunavyolakin facility zetu bado hazikidhi idadi kubwa ya wageni
1.JNIA max capacity 8.5M pax
2.KIA Max capacity 1m pax do the maths
Leta hiyo full package yako uchwara.., nje ya Dar hakuna level ya Nakuru.., yani umekosa jibu kabisa😂😂😂., hadi rahaNasubiri mbwa yeyote wa kikunya abishe kuhusu Nakuru ili nije na full package
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuru ni mji wa ngap Kenya?Leta hiyo full package yako uchwara.., nje ya Dar hakuna level ya Nakuru.., yani umekosa jibu kabisa., hadi raha
Umerudi tena. Unataka missionary au Doggy Style!?Leta hiyo full package yako uchwara.., nje ya Dar hakuna level ya Nakuru.., yani umekosa jibu kabisa😂😂😂., hadi raha
Mwenzako kasema ukweli, maoni yake with substantial facts sio porojo kama wewe Mr. Propaganda, alafu hapa ndani we don't think like you ata kama ni battle, tunaumbua fikra zenu finyu, mnalazimisha mnacho fikiria iwe ni ukweli lakini tunawapea facts! mtapinga hadi mfe, mko na low self esteem na inferiority complex😂, sasa unaona umeandika fikra zako tu, not true, nyie kwa hii battle mnatafita tu porojo ili kujikweza, tumewabana kila kona, tazama picha ulizoweka eti Nakuru slums umeokota google bila kutafuta udhibitisho, Nakuru ain't like that, mko ovyo najua inauma but ukweli utabaki pale pale, wewe andika porojo na post vipicha vya kupotosha tu, Kenya ina paa kimya kimya nyie mnaona njaa na siasa, poleni sio makosa yetu, watu wanajituma nyie mmezubaa😂 I thought ume change, kumbe bado wewe ni ule ule kilaza 😂😂😂😂., Mtanyooka roundi hii.., mtapost slums kwa hasira hadi basi.., Tafuta dawa ya ulcers unaenda kiteseka zaidi na zaidi😂😂😂😂This is a battle, kwenye battle it means nchi yako haikosei, na ndiyo maana unaona wakunya humu licha ya tabu, shida na ufukara walionao lkn wanapambana hvyo hvyo kiubushi ubishi, inafikia mahali mpk wanajilinganisha na Tz kwenye food security japo haiwezekani kuwa hivyo, that's a real meaning of battle, nchi haikosei, ss km unaona nchi yako inakosea unafanya nn hapa kwenye battle? C uende jukwaa la siasa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ranked 4th after Kisumu, but kwa mtazamo wangu kwa sasa ni 3rd.., even economically na revenue wako juu..,Nakuru ni mji wa ngap Kenya?
Nakusubiri hapa au bado unajipanga!?Mwenzako kasema ukweli, maoni yake with substantial facts sio porojo kama wewe Mr. Propaganda, alafu hapa ndani we don't think like you ata kama ni battle, tunaumbua fikra zenu finyu, mnalazimisha mnacho fikiria iwe ni ukweli lakini tunawapea facts! mtapinha hadi mfe, mko na low self esteem na inferiority complex😂, sasa unaona umeandika fikra zako tu, not true, nyie kwa hii battle mnatafita tu porojo ili kujikweza, tumewabana kila kona, tazama picha ulizoweka eti Nakuru slums umeokota google bila kutafuta udhibitisho, Nakuru ain't like that, mko ovyo najua inauma but ukweli utabaki pale pale, wewe andika porojo na post vipicha vya kupotosha tu, Kenya ina paa kimya kimya nyie mnaona njaa na siasa, poleni sio makosa yetu, watu wanajituma nyie mmezubaa😂 I thought ume change, kumbe bado wewe ni ule ule kilaza 😂😂😂😂., Mtanyooka roundi hii.., mtapost slums kwa hasira hadi basi.., Tafuta dawa ya ulcers unaenda kiteseka zaidi na zaidi😂😂😂😂
Town without sea, lake or river ni takataka.Ranked 4th after Kisumu, but kwa mtazamo wangu kwa sasa ni 3rd.., even economically na revenue wako juu..,