Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jibu sio yako kilaza, wewe inakuashia nini😛 😂 😂 .., mwenzako aliuliza a rhetorical question.., sasa ajijibu na clip., uzembe sitaki.
Yaani kwa akili zako unaona Nakuru ni bhab kubwa 😂😂😂.
Fumba Town tu imekufanya uanze kupia kelele
 
kuna mkataba utasainiwa huko Misri
IMG_2905.jpg
 
Alafu mbwa anakuja kuongea upuuzi kuhusu Magu, mbn miaka zaidi ya 50 hatukuwahi kuongoza kwenye sekta tunayostahili kuongoza, sekta ya utalii? Kuna nchi gn hapa duniani inaweza ku battle na Tz kwenye utalii naturally? Tulilala sn, so yule baba akaja kutuamsha kdg tu ndo unaona hivi, je angetuamsha mazima c ingekuwa balaa.

Mwenyezi Mungu fundi sn, alituletea mtu atustue kdg zen tuendelee wenyewe, yule Magu wala co genes za Tz, cc Watz tumebarikiwa kila kitu na ndiyo maana unaona hata nchi ikipata mwehu lkn huwezi kusikia njaa wala ushuzi wa njaa cz we are blessed country, yn heden ilikuwa Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom