Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,173
- 29,784
TrueKaka hii ni hatari, kama huyu mzee angemaliza miaka yake basi tulikuwa tunaenda kuishangaza dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
TrueKaka hii ni hatari, kama huyu mzee angemaliza miaka yake basi tulikuwa tunaenda kuishangaza dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mada gani sijaelewa kilaza wewe? Aren't you comparing Dar roads with Kisumu roads?Kama hujaelewa mada ...funga bakuli na upite kimyakimya umeskia kizuuu....![]()
Tumewaacha mbali sn, alafu km mme notice kitu ni kwamba mpira wa Tz umenza kivutia watu mbalimbali barani Afrika na Ulaya, I will not be excited to see one of our teams sign a player from one of the best Europe leagues.Halafu, kuna vinchi hata chakula havina na vitimu vyao kama "Girl Maria" hata dola $2 000 kwa mwezi mbinde kulipa. Na hizo ndio club kubwa kwao.
Hakuna battle hapa! Ni dhambi kubishana na maskini wasio hata na uwezo wa kula kwa siku.
Kwahiyo basi tukubaliane kuanzia leo maisha Kenya ni mepesi kuliko Tz kwamba mkunya wa kawaida atapata tabu huku Tz na mTz wa kawaida ataishi kiuwepesi Kenya sawa?Hawataki kuskia ukweli lakini hizi hapa bei za unga wa ngano.
TZ Azam wheat flour 2kg= Ksh 191
Kenya EXE wheat flour 2kg = Ksh 142
Kenya GDP per Capita PPP = 4926 International dollars
Tanzania GDP per Capita PPP = 2821 international dollars.
Nowonder retail industry yenu ni ndogo sana.
View attachment 2002173
View attachment 2002255
alafu iyo package ya azamHawataki kuskia ukweli lakini hizi hapa bei za unga wa ngano.
TZ Azam wheat flour 2kg= Ksh 191
Kenya EXE wheat flour 2kg = Ksh 142
Kenya GDP per Capita PPP = 4926 International dollars
Tanzania GDP per Capita PPP = 2821 international dollars.
Nowonder retail industry yenu ni ndogo sana.
View attachment 2002173
View attachment 2002255


Hiyo ya azam Inakaa gunia ya misumarialafu iyo package ya azam![]()
Not with that GDP per Capita PPP. Hio ni ishara ya shida tupu.Kwahiyo basi tukubaliane kuanzia leo maisha Kenya ni mepesi kuliko Tz kwamba mkunya wa kawaida atapata tabu huku Tz na mTz wa kawaida ataishi kiuwepesi Kenya sawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo alivyokuambia Mama Ngina.Not with that GDP per Capita PPP. Hio ni ishara ya shida tupu.
Still play fool...Mada gani sijaelewa kilaza wewe? Aren't you comparing Dar roads with Kisumu roads?
Kuna bar moja huwa napenda kwenda kupata kinywaji huku nikiangalia mpira huwezi amini zikicheza timu za bongo huwa panajaa hadi hakuna pa kuweka mguu full mibanano mixer watoto wazuri ila kukiwa na mechi za EPL wala hapajai sana magepu ya kutosha.Tumewaacha mbali sn, alafu km mme notice kitu ni kwamba mpira wa Tz umenza kivutia watu mbalimbali barani Afrika na Ulaya, I will not be excited to see one of our teams sign a player from one of the best Europe leagues.
Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu sio bar moja ni bar zote mkuu ikicheza timu za bongo na EPL at the same time zinawekwa mechi za bongo hususan Simba au Yanga, mm mwenyewe cku hz mechi za Yanga nazipenda na kuzisubiri kuliko mechi za Man Utd.Kuna bar moja huwa napenda kwenda kupata kinywaji huku nikiangalia mpira huwezi amini zikicheza timu za bongo huwa panajaa hadi hakuna pa kuweka mguu full mibanano mixer watoto wazuri ila kukiwa na mechi za EPL wala hapajai sana magepu ya kutosha.![]()
Wanapenda kujifariji na bei zisizo na uhalisia za mitandaoni.Kwahiyo basi tukubaliane kuanzia leo maisha Kenya ni mepesi kuliko Tz kwamba mkunya wa kawaida atapata tabu huku Tz na mTz wa kawaida ataishi kiuwepesi Kenya sawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huwezi amini nimecheka sana mana umeongea reality afu sikuifikiriaWanapenda kujifariji na bei zisizo na uhalisia za mitandaoni.
Hivi ni Mtanzania gani atapoteza muda wake kuagiza unga online wakati dukani kwa "mangi" wanauza hizo bidhaa kwa bei rahisi!





Mimi niliacha kushabikia timu za EPL.Mkuu sio bar moja ni bar zote mkuu ikicheza timu za bongo na EPL at the same time zinawekwa mechi za bongo hususan Simba au Yanga, mm mwenyewe cku mechi za Yanga nazipenda na kuzisubiri kuliko mechi za Man Utd.
Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu huwezi amini nimecheka sana mana umeongea reality afu sikuifikiria
Sent using Jamii Forums mobile app


