Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanapenda kujifariji na bei zisizo na uhalisia za mitandaoni.

Hivi ni Mtanzania gani atapoteza muda wake kuagiza unga online wakati dukani kwa "mangi" wanauza hizo bidhaa kwa bei rahisi!
Wenzetu hawa wanaishi maisha ya kuiga.
Ndio maana NAKUMATI walikuja wakafungasha mizigo yao. Tanzania tunaishi maisha yetu.
 
Eti danganyika wana hospitali nzuri kuliko Kenya? labda kwa ndoto. Kwanza magufuli tena watalii.
Screenshot_20211107-205932.jpg
 
Wanapenda kujifariji na bei zisizo na uhalisia za mitandaoni.

Hivi ni Mtanzania gani atapoteza muda wake kuagiza unga online wakati dukani kwa "mangi" wanauza hizo bidhaa kwa bei rahisi!

Sio hata online watanzania wengi hawanunui vitu kwenye ma supamarket Kwanzaa kwasababu hukuo bei ni ghali pili ni accessibility
 
nimeongea shit coz mi ni mlevi skuizi 24/7. na kazi nisipochunga ntapoteza aky. na venye kupata kazi kenya ni ngumu sana aky. sikuhizi kila mtu ame soma
 
Naona kama wasiishie floor hizo ni chache . Bora wakabishe wadau kuwapa nafasi ya kuongeza floor kwa juu . Nadhani itakua biashara japokua kwenye soko lakini juu unaweza kuweka restaurant na warehouse za wafanyabiashara . Serikali iwape au wawauzie eneo juu ya hilo soko jipya liwe 10 up to 15 floors itakua poa
 
Back
Top Bottom