Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongo mnaumia kimya kimya, CCM imewafinya na ikawadanganya vile mnaishi vizuri kumbe ni kuteseka kama punda. 🤣🤣🤣 Sasa ona mnauziwa juice ya Orchid Valley ksh223. Poleni sana majirani.

May be an image of text that says AtoZsSupermarket EVERYTHING UNDER ONE ROOF Ⅲ WISHING ALL A HAPPY IJUMAA KAREEM Rolid mango Delight ORCHID VALLEY TRY THIS JUICE NOW IN mango Delight apple, Deligkt apple Deligh MANGO DELIGHT APPLE DELIGHT JUR JU NOPRESERVATIVE TSHS 4,600 JUE NOPRESERVATIVE SHOP NOW f Atoz's supermarket +255 682 919 213's supermarket +255 682 919 213 Char-lee Oddie a Twitter: "Mango Juice price reduced by 50%. Naivas cares  for you. Enjoy the cool Orchard Valley Juice at a discounted rate.  #KrisiNiNaivas… https://t.co/Fy3cmMkMwu"
Hahah na jee vitu basic like cooking Fat, sugar,?
Hawa,watu Ni PR tu,
Lazma Ni more expensive
 
Naona njaa imekula ubongo wote.
You have a pumpkin head

View attachment 2001682
Nmepata corona ya beberu
images-17.jpg
 
jamaa hajui kuwa serikali inaweka kodi kubwa kwa imported goods ili kuencourage bidhaa za ndani.. kwamba watu waachane na kukununua bidhaa za nje ili wanunue bidhaa za ndan za akina bakhresa na etc kwa bei ndogo na kwa wingi ... tatizo ndo hivyo majamaa ni zero brains.. vitu kama hiv hawawezi kuelewa
Maziwa 500ml processed in your own country mnauziwa ksh72 while Kenya haipiti shilingi 50. The cost of production is high in your country na bado mkona a big deficit, so you have to import to bridge the gap. The government can only increase tax on imported products if you already produce enough in your country.
 
jamaa hajui kuwa serikali inaweka kodi kubwa kwa imported goods ili kuencourage bidhaa za ndani.. kwamba watu waachane na kukununua bidhaa za nje ili wanunue bidhaa za ndan za akina bakhresa na etc kwa bei ndogo na kwa wingi ... tatizo ndo hivyo majamaa ni zero brains.. vitu kama hiv hawawezi kuelewa
Nikiwaambia mkoloni aliondokaga na akili zao muwe mnanielewa jamani.
 
Maziwa 500ml processed in your own country mnauziwa ksh72 while Kenya haipiti shilingi 50. The cost of production is high in your country na bado mkona a big deficit, so you have to import to bridge the gap. The government can only increase tax on imported products if you already produce enough in your country.
Hapa ndio unaona umejitetea ili usionekane hujui uchumi, yn hapa ndio umekunya kabisa, bora ungekaa kmy watu tujue uliteleza lkn hapa umetoa boko mfano wa kimba, yani vitu vyote vinavyouzwa cheap hujaviona ila umeona maziwa tu, na kwamba maziwa ndiyo yanayo justify cost of production au co.

Wakenya hamna akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikiliza huu wimbo utagundua aliyeimba ameimba upotoshaji kwa asilimia kubwa.

Nilisikiliza nikafika sehemu anasema eti jengo la CRDB Chato siku hizi ni club wakati bank inafanya kazi akasema tena eti uwanja wa ndege Chato ndege haziendi wakati ATCL wanaenda mara tatu kwa wiki.

 
Ukisikiliza huu wimbo utagundua aliyeimba ameimba upotoshaji kwa asilimia kubwa.

Nilisikiliza nikafika sehemu anasema eti jengo la CRDB Chato siku hizi ni club wakati bank inafanya kazi akasema tena eti uwanja wa ndege Chato ndege haziendi wakati ATCL wanaenda mara tatu kwa wiki.

Wasanii wengi wa bongo wanasumbuliwa na shule so wanakosa uwezo wa kufuatilia mambo kiundani, so hawapendi kusoma na ndiyo maana wako shalow, wao wanaishia kusikia sikia na kutungia wimbo mambo waliyosikisikia pasipo kusoma kiundani, na ndiyo maana unakuta msanii anaimba vitu vyepesi vyepesi.

Ni bora wajikite kwenye nyimbo za mapenzi waimbe matusi basi lkn wasiimbe nyimbo za kuelimisha cz hawawezi kuelimisha wkt wao binafsi hawajaelimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna haja ya kucheka watu wanaoumia. Hata kama unawachukia vipi hakuna haja ya kucheka watu wowote wanaopitia hali ngumu.

Hatuchekii mzee sisi tunashangaa mnavyosema Kenya iko more food secure than tz mara food in kenya is way cheaper than tz while vitu kama hizi (njaa) keeps occurin in your country
 
Hapa ndio unaona umejitetea ili usionekane hujui uchumi, yn hapa ndio umekunya kabisa, bora ungekaa kmy watu tujue uliteleza lkn hapa umetoa boko mfano wa kimba, yani vitu vyote vinavyouzwa cheap hujaviona ila umeona maziwa tu, na kwamba maziwa ndiyo yanayo justify cost of production au co.

Wakenya hamna akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Empty words kama kawaida. 😂😂😂 Mnateseka kama punda, tukianza kuongelea bei ya sukari je?
 
Back
Top Bottom