Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuchekii mzee sisi tunashangaa mnavyosema Kenya iko more food secure than tz mara food in kenya is way cheaper than tz while vitu kama hizi (njaa) keeps occurin in your country
Nani alisema Kenya Kenya iko more food secure than Tanzania? Wacha uongo wewe.
 
Maziwa 500ml processed in your own country mnauziwa ksh72 while Kenya haipiti shilingi 50. The cost of production is high in your country na bado mkona a big deficit, so you have to import to bridge the gap. The government can only increase tax on imported products if you already produce enough in your country.

Mzee if you had said this 5 to 6 years ago you'll have been correct kwasababu bck then tulikua tunaimport a lot of especially from you guys but unafaa ukubalii mambo yamebadlika Mzee saivi ni nadra kupata brand za njee madukanii labda (milk powder ) tuu, bck then it was only asas dairies na tanga fresh lakin saivi more than 5 brands zimeingia kwenye game kufil the gap
 
Hahah na jee vitu basic like cooking Fat, sugar,?
Hawa,watu Ni PR tu,
Lazma Ni more expensive
Wanaumia mbaya sana basic commodities are expensive AF, Milo wanauziwa ksh930 na Kenya ni ksh650 plus so many offers year round. NB: our currency has a higher purchasing power, must be very terrible down south. That's why their institutions are gagged ndio wasijue ukweli.

milo.jpg


images (52).jpeg
 
Wasanii wengi wa bongo wanasumbuliwa na shule so wanakosa uwezo wa kufuatilia mambo kiundani, so hawapendi kusoma na ndiyo maana wako shalow, wao wanaishia kusikia sikia na kutungia wimbo mambo waliyosikisikia pasipo kusoma kiundani, na ndiyo maana unakuta msanii anaimba vitu vyepesi vyepesi.

Ni bora wajikite kwenye nyimbo za mapenzi waimbe matusi basi lkn wasiimbe nyimbo za kuelimisha cz hawawezi kuelimisha wkt wao binafsi hawajaelimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unajiuliza hivi hawakuona CRDB walivyokanusha tena kwa kutumia ushahidi!

Au ameshindwa hata kuingia website ya ATCL kujaribu kufanya booking ya kwenda Geita!
 
the fruits u produce juices come from Tanzania! Tanzania produces more sugar than Kenya, u r just good at importation!
Shida yenu hua empty words. We export fruits to Europe munasema eti ni zenu. Juice and Sugar is cheaper in Kenya yet you produce more. The math doesn't add up.
 
Wenzakoo hao wanekuja na viblog vyao vya vijiweni wamepost humu
Huyo "anakuwanga" mjinga eti anashindwa kukemea upotoshaji unaofanywa na wakunya wenzake ila Mtanzania akipost kitu anakimbilia kusema mnawacheka wakati ni mnawashangaa wanavyojitapa eti wana chakula cha kutosha wakati mambo kwa ground ni tofauti.

Huwa wanaogopana sana humu.
 
Huyo "anakuwanga" mjinga eti anashindwa kukemea upotoshaji unaofanywa na wakunya wenzake ila Mtanzania akipost kitu anakimbilia kusema mnawacheka wakati ni mnawashangaa wanavyojitapa eti wana chakula cha kutosha wakati mambo kwa ground ni tofauti.
Kama huyu mmoja wao 👇
Huwa wanaogopana sana humu.
Wanaumia mbaya sana basic commodities are expensive AF, Milo wanauziwa ksh930 na Kenya ni ksh650 plus so many offers year round. NB: our currency has a higher purchasing power, must be very terrible down south. That's why there institutions are gagged ndio wasijue ukweli.
 
Wanaumia mbaya sana basic commodities are expensive AF, Milo wanauziwa ksh930 na Kenya ni ksh650 plus so many offers year round. NB: our currency has a higher purchasing power, must be very terrible down south. That's why there institutions are gagged ndio wasijue ukweli.
Ni nadra sana kukuta mtanzania ananunua maziwa supermarket sababu mitaani maziwa organic yamejaa kila duka, haina sababu ya kunywa flavored milk wakati organic milk yapo tele tena kwa bei chee

 
Ni nadra sana kukuta mtanzania ananunua maziwa supermarket sababu mitaani maziwa organic yamejaa kila duka, haina sababu ya kunywa flavored milk wakati organic milk yapo tele tena kwa bei chee


Hata sukari hamweki kwa chai, munakoroga tu na miwa. 😂😂😂
 
Hata sukari hamweki kwa chai, munakoroga tu na miwa. 😂😂😂
Tumalizane kwanza kwenye topic ya maziwa, mtindo wa biashara ya maziwa Tanzania na Kenya ni tofauti sana kutokana na culture na mitazamo

Watanzania wengi wanaamini maziwa ya unga na hizo milo ni fake milk na ng'ombe Tanzania wapo kwa wingi sana so usitegemee mtanzania ataacha organic whole milk kwa jirani yake 1 litre 1k aende kununua lato 300g 5k huo ni uzwazwa

Tanzania organic whole milk is supplied at doorsteps

 
Tumalizane kwanza kwenye topic ya maziwa, mtindo wa biashara ya maziwa Tanzania na Kenya ni tofauti sana kutokana na culture na mitazamo

Watanzania wengi wanaamini maziwa ya unga na hizo milo ni fake milk na ng'ombe Tanzania wapo kwa wingi sana so usitegemee mtanzania ataacha organic whole milk kwa jirani yake 1 litre 1k aende kununua lato 300g 5k huo ni uzwazwa

Tanzania organic whole milk is supplied at doorsteps


Nani alikuambia Kenya haina hizi maziwa za mitaa? Inaitwa maziwa ya kupima. Mnauziwa ksh 606 for a 5 liter jerrican. Nakuambia bei zenu ziko juu na unapinga. Kenya liter moja ni ksh60 na kibuyu ya liter tano ni ksh 300.
 
Hamna kitu pale...

Katembelea milage sana Kwa yule dogo wa kibongo. Ndio alikuwa anampa business idea na kukuza brand yake. PR zote na marketing alikuwa anafanya dogo yule.. Huyo msupuu akawa anamlipa kwa bed tu.. Halafu hata kushikishwa ball hataki.

Dogo akamtema tu, saiv anapata loss hapati free promotion kama aliyokuwa anapata before.
Kweli wabongo ni machizi, mtoto yupo succesful kitambo mbona..
 
Nani alikuambia Kenya haina hizi maziwa za mitaa? Inaitwa maziwa ya kupima. Mnauziwa ksh 606 for a 5 liter jerrican. Nakuambia bei zenu ziko juu na unapinga. Kenya liter moja ni ksh60 na kibuyu ya liter tano ni ksh 300.
Wewe huoni hapo ni mpaka delivery Dar yote (mind you, Dar is 3 Nairobis) plus package and branding lakini mitaani huko ni 1k for 1lt simple which is way cheaper than 60ksh of yours
 
Wewe huoni hapo ni mpaka delivery Dar yote (mind you, Dar is 3 Nairobis) plus package and branding lakini mitaani huko ni 1k for 1lt simple which is way cheaper than 60ksh of yours
So Delivery na packaging ni ksh50 pathetic lies. 😂😂😂
Kenya delivery ni bure plus kuna many milk ATMs in urban centers.
 
So Delivery na packaging ni ksh50 pathetic lies. 😂😂😂
Kenya delivery ni bure plus kuna many milk ATMs in urban centers.
Huwezi kupata whole organic milk kwa hiyo bei Kenya nzima hata ukiyafata mwenyewe yanapokamuliwa kwa vessel yako, Huwezi na hayo ya 60bob ni maji yaliooshea vyombo na chuchu za maziwa na sio maziwa
 
Back
Top Bottom