passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,527
- 12,507
Kazi inaendelea kariakooo ijayo
Wewe endelea kuota.zimetoka kioo ltd au south Africa
Naona kipofu kaonawezi.Azam wajifunze packaging kutoka kwa wakenya. Wawache kuletea East Africa aibu na hizo vichupa zimefanywa branding na amateurs.
View attachment 2001094
View attachment 2001095
View attachment 2001104
Haya maji alifundishwa packaging na jamaa wa Bongo. Kwanzaa maji yake hayauziki saiv maana Kaachana na mbongo aliekuwa anamsaidia branding na marketingTuonyeshe kama hizi au ufunge account.
View attachment 2001076
View attachment 2001078
View attachment 2001079




Chupa ni ndogo lakini ikona kifuniko kubwa kama bakuli. Hio hata sijui watoto wanatumia aje.Naona kipofu kaonawezi.
Pole yako mtoto wa mama ngina
Wakenya exposure ni zero kabisa.Azam wajifunze packaging kutoka kwa wakenya. Wawache kuletea East Africa aibu na hizo vichupa zimefanywa branding na amateurs.
View attachment 2001094
View attachment 2001095
View attachment 2001104
Kw akili zipi hzo, eti maji hayauzikiHaya maji alifundishwa packaging na jamaa wa Bongo. Kwanzaa maji yake hayauziki saiv maana Kaachana na mbongo aliekuwa anamsaidia branding na marketing
Uongo? komora096![]()



Jamaa umepanic mpka umekimbilia pabaya zaidiWakenya exposure ni zero kabisa.
View attachment 2001190
View attachment 2001191
View attachment 2001192
Mzee umeona mwezi leo. Leta HOLA yako hapa tuione. Nakunyoosha leo mpaka ujikojoleeChupa ni ndogo lakini ikona kifuniko kubwa kama bakuli. Hio hata sijui watoto wanatumia aje.
Mzee Kenya mnaweza kujikojolea huku usipime. Unaongea sanaJamaa umepanic mpka umekimbilia pabaya zaidi
Huku utaezana kweli ama ni mbwembwe tu, manake kenya mambo haya ndio kinarw ukanda huu
Utajinyea Leo. Nakuchapa nao mpaka ufike kileleniJamaa umepanic mpka umekimbilia pabaya zaidi
Huku utaezana kweli ama ni mbwembwe tu, manake kenya mambo haya ndio kinarw ukanda huu
Admin wa hiyo page ni mkenyahapo kenya imebebwa pia kenya imeachwa mbali na uganda
hebu ona venye mitaa za kenya ni supuu. utadhani ughaibuni. kenya nchi ya $106B😍Uko desperate sana h
Yaani ata Dar hupati average residential ya raiya wa kawaida kama za kisumu na unabweka bweka humu idiot 😂 😂 😂 😂 ..,
lolwe., yaani nipoteze mda wangu kulinganisha city na vi town? mimi sio kilaza.., nothing of this magnitude in Mwanza or Arusha..,
Lolwe estate has density kushinda CBD ya Mwanza na Arusha 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2000617
View attachment 2000618
View attachment 2000620
View attachment 2000621
View attachment 2000622
View attachment 2000625
View attachment 2000627
View attachment 2000629
Milimani estate
View attachment 2000630
Yanga tushaanza mpira wa kihispania.tutalajie soka la kihispania sasa
Hiyo battle ya maghorofa kati ya Dar na Nairobi mliukubali matokeo? Si mlianza visingizio hapa na vitimbi?Ila huyu jamaa Don YF huwa ananiachaga hoi sana.. 😂😂, nimemwambia tuweke battle kati ya jiji lao la tatu kwa maendeleo KISUMU vs jiji letu la tatu kwa maendeleo Arusha, lakini mara apost nyumba za mashambani uko Eldoret, mara vitu tofauti tofauti 😂😂😂.. unaogopa nini wewe kukileta kijiji chenu chenye infrastructure (kalvat) moja yenye mnajivunia😂😂, nimekuomba tushindanishe kwanza kwa idadi ya ghorofa zenye floors zaidi ya kumi in both Arusha and Kisumu, kama tulivyofanya juzi kwa Nairobi vs DAR .. jamaa unapiga nduru mara ooh gorofa sio maendeleo .. sasa cha kujiuliza Kati ya kisumu na Arusha ni mji gani uko na uchumi mkubwa since Arusha is Tanzania's tourism hub .? 😂😂.. Kisumu+Eldoret=Arusha.. fala yoyote anaebisha twende ground
Tuonyeshe kama hizi au ufunge account. 😂😂😂
View attachment 2001076
View attachment 2001078
View attachment 2001079
Hamna kitu pale...Kw akili zipi hzo, eti maji hayauziki
Unajua yule mwanamke biashara zake au waziskia..
Anerlisa ni big brain, hata wewe akikupenda anakuchukua anakulea alafu mwisho ywakutupa nje