Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wekeni hapa bei ya Michele 1kg na Maziwa 1 ltr za supermarket in TZ tuone. Hata Kenya tukona cheaper prices za mitaani.
 
Tunataka vitu vya ground mkunya, hatutaki data zisizo akisi uhalisia.

Weka bei za bidhaa hapa.

Huku Tanzania unaweza pata hadi 1 kg of rice kwa Tsh 700 hadi 1,000 inategemea uko wapi na aina ya mchele.

Nimechungulia Bei ya Mchele duka flani hapa naona kuna wa 1300 kwa KG, ambayo ni Usd 0.56.
Hizo Dola nne ni Mchele gani .
 
Nimeona hii message nikabidi nikujibu...

Kenya vitu vya Tanzania ndio ghali na ndio vyenye ubora... huo Mchele nafuu wanaokula wakenya huku Tanzania wanalishia mifugo kabisa
Unaota mchana, weka hapa bei ya Azam whole milk 1ltr tuone. Wacheni kulialia.
 
Uko desperate sana h
Acha kupiga kelele mingi kama mbwa, twende ground, tuanze na Over ten floors buildings .. Owky utachukua Kisumu na Eldoret kwa pamoja ili tulinganishe na Arusha.. mbona unaogopa 😂😂😂 mapovu yanakutoka kwa kuogopa Arusha .. heb ona huu uchafu 👇View attachment 2000590

View attachment 2000582

View attachment 2000585
Yaani ata Dar hupati average residential ya raiya wa kawaida kama za kisumu na unabweka bweka humu idiot 😂 😂 😂 😂 ..,
lolwe., yaani nipoteze mda wangu kulinganisha city na vi town? mimi sio kilaza.., nothing of this magnitude in Mwanza or Arusha..,

Lolwe estate has density kushinda CBD ya Mwanza na Arusha 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1636192103483.png

1636192118386.png

1636192182024.png

1636192291136.png

1636192313271.png

1636192337411.png

1636192363921.png

1636192383255.png


Milimani estate
1636192399641.png
 
Nimechungulia Bei ya Mchele duka flani hapa naona kuna wa 1300 kwa KG, ambayo ni Usd 0.56.
Hizo Dola nne ni Mchele gani .
Mtaani kwangu pia ni Tsh 1,300 hadi 1,200 kwa kilo.

Atuambie ni Tanzania gani hiyo mchele unauzwa 9,000 kwa kilo
 
Wekeni hapa bei ya Michele 1kg na Maziwa 1 ltr za supermarket in TZ tuone. Hata Kenya tukona cheaper prices za mitaani.
We jamaa huna akili timamu, yani bidhaa za chakula zilimwe Tanzania alafu eti ziuzwe Bai ghali ndani ya nchi kuliko sehemu ambayo zinapelekwa (nje ya nchi) 😂😂😂 wewe ni chizi ..
 
Mtaani kwangu pia ni Tsh 1,300 hadi 1,200 kwa kilo.

Atuambie ni Tanzania gani hiyo mchele unauzwa 9,000 kwa kilo

Kwa hapa Dar mchele wa grade ya chini kabisa 1100 wa grade ya juu ni 2100 na hapo bado hujaenda mikoani bei ni kama bure hukoo
 
Back
Top Bottom