dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
lonrho africa and nssf building. hizi vyumba za kitambo lakini bado inatesa ile mbaya
na hapa ita kaa ka wapi. chicago ama?Kuna watu wanaweza kudhania hapa ni dubai
Kisumu ni sawa na Dumila iliyo kando kando ya Ziwa



😂😂😂😂😂😂😂😂nimerudi, hadi raha, sasa hotels na residentials along the beach ndio ya kuweka humu to prove eti Tz haina city moja?🤔😝😂😂 hizi ziko kwa wingi kule small towns along the coast mzee., try something else, weka ata tu ule mji wenu wa ushago ulio choka kishenzi, aka Mwanza city.,😂😂😂😂😂😂.., drop them photos here..., ata YouTube clips ziko kibao😂😂😂😂Hapa ni Unguja. Kenya bado mpo na Colonial buildings structure. Utakimbia baada ya photos hizi.
View attachment 1999931
View attachment 1999936
View attachment 1999937
Jaribu muwe mnaweka picha mpya, hizi zimeshachoka, since 2017 up to date ni hizi hizi tu, mkiongeza ni ile picha ya one project, hivi hamjengi huko kwenu?lonrho africa and nssf building. hizi vyumba za kitambo lakini bado inatesa tesa View attachment 2000018View attachment 2000017
Mwanangu unaonekana stress zimepanda kiwango kichani mwako🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂nimerudi, hadi raha, sasa hotels na residentials along the beach ndio ya kuweka humu to prove eti Tz haina city moja?🤔😝😂😂 hizi ziko kwa wingi kule small towns along the coast mzee., try something else, weka ata tu ule mji wenu wa ushago ulio choka kishenzi, aka Mwanza city.,😂😂😂😂😂😂.., drop them photos here..., ata YouTube clips ziko kibao😂😂😂😂
Sio sisi, pengine watu wa Mwanza wengi walio washamba😂 kama mlivyo sema wenyewe😂😂😂😂 ila sisi tunapajua kwa mapana na marefu😂 kindly just raise the camera ionyeshe aerial view or bird's eye view?.., hii ya deceptive angle to create an erroneous perception tulisha "ifumania" mchana peupe😂😂😂😂.,Kuna watu wanaweza kudhania hapa ni dubai
Maneno mengi sipendi, evidence tu, yaani facts ndio muwe mnaweka hapa, kisha mpunguze Domo domo.., yaani mko na empty rhetorics tu., watu wa vioja tupu😂😂😂😂, hapa ni entertainment zone Mr. Vipicha..,Mwanangu unaonekana stress zimepanda kiwango kichani mwako🤣🤣🤣

that’s the only thing you can share for your third largest Glorified Village 


Alafu sasa, unaona?, only in Dar😂😂😂😂,.., outer ring Nairobi imeifunika tayari, mimi nilisema Tz ni nchi ya city moja tu mnakasirika, na interchange hazipiti tatu😂😂 kwingine ni mashambani ndio maana wengi mmekimbilia Dar-kabul-salaam, kwa sasa nina hisi mtakua watu 7million plus in that fishing village, hamna kwingine pa kuenda ku hustle😂😂😂😂😂😂😂😂..,Hii hata price lazima ichangamke...pillars za kutosha sio mauchafu ya kujenga ukuta kisha kujaza maudongoView attachment 1999979View attachment 1999980View attachment 1999981
but just know kisumu, by any standards is the lead city in EA interms of neatness and organization even ahead of chigaliHave you remembered to post that elevationthat’s the only thing you can share for your third largest Glorified Village
![]()
Hapa ni hasira inaongea hakuna reason ama sense, sio makosa yangu ukweli utabaki pale pale wewe itabidi imezoea ama utapata ulcers bure, vumilia, tafuna limau kama mwanaume😂😂😂😂😂😂Acha kujitia aibu ndogo ndogo....nenda ulete kisumu apa ili Chuga upumulie kisohoni
Sasa mzee hapa umefanya vitendo gani!?😂😂😂. Hebu tuwekee picha unazoziamini kuliko zote nje ya Nairobi na mimi nitakuja nikukamue mbolea.Maneno mengi sipendi, evidence tu, yaani facts ndio muwe mnaweka hapa, kisha mpunguze Domo domo.., yaani mko na empty rhetorics tu., watu wa vioja tupu😂😂😂😂, hapa ni entertainment zone Mr. Vipicha..,
Wewe nakujua vizuri sana, umeteseka hadi basi, sasa ni kiswahili tu😂😂😂😂😂., we love our design, alafu unajua tofauti ya brick na block?., hapa Kenya tofali(tofari) ni ile inayotengenezwa kwa udongo kisha yanachomwa kwa moto yaani bricks: 🧱(matofari)., blocks are made of cement., Kwa kiswahili block inaitwaje?.,mumeona vile tofali zikipangwa kwenda juu😂😂😂😂😂 flyover ambazo zilijengwa miaka 100 iliopita
Mbona mzee hatuoni facts. Unaandika inshaWewe nakujua vizuri sana, umeteseka hadi basi, sasa ni kiswahili tu😂😂😂😂😂., we love our design, alafu unajua tofauti ya brick na block?., hapa Kenya tofali(tofari) ni ile inayotengenezwa kwa udongo kisha yanachomwa kwa moto yaani bricks: 🧱(matofari)., blocks are made of cement., Kwa kiswahili block inaitwaje?.,
#chunga wivu isikunyonge kaka😂😂😂😂
Now see how u easily expose your ignorance, I said earlier u argue merely so just u can win an argument but not to reason😂😂😂😂, katika nchi fukara fukara kama Tz, such places are too cheap and affordable in comparison, reason ni ati demand is quite low many people can't afford Airbnb, the reason ukienda Kampala, Lilongwe, now Dar-Kabul-Salaam, etc u can spend in a gisty hotel or airbnb at relatively low rates!.., mko hovyo nanii wacha kujipiga kifua eti "quality of life" kaka ni lack of customers, low demand!😂😂. Understand this, stronger currencies stretches wide in poor countries with weak and useless currencies like Uganda and Tz, if u have traveled u will know what I mean. Also there are other several factors I haven't mention here., no need anyway.And that is a true definition of a quality of life. A dollar stretches wide in Tanzania, my friend.