Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila huyu jamaa Don YF huwa ananiachaga hoi sana.. 😂😂, nimemwambia tuweke battle kati ya jiji lao la tatu kwa maendeleo KISUMU vs jiji letu la tatu kwa maendeleo Arusha, lakini mara apost nyumba za mashambani uko Eldoret, mara vitu tofauti tofauti 😂😂😂.. unaogopa nini wewe kukileta kijiji chenu chenye infrastructure (kalvat) moja yenye mnajivunia😂😂, nimekuomba tushindanishe kwanza kwa idadi ya ghorofa zenye floors zaidi ya kumi in both Arusha and Kisumu, kama tulivyofanya juzi kwa Nairobi vs DAR .. jamaa unapiga nduru mara ooh gorofa sio maendeleo .. sasa cha kujiuliza Kati ya kisumu na Arusha ni mji gani uko na uchumi mkubwa since Arusha is Tanzania's tourism hub .? 😂😂.. Kisumu+Eldoret=Arusha.. fala yoyote anaebisha twende ground
 
Kisumu ni mji mkubwa sana most pictures huonyesha cbd pekee side ya lake kisumu imedevelop away from the lake just a picture here na hapo cbd hakuna and many other parts

Screenshot_20211028-174148.jpg
 
Kuja ground utashangaa hiyo mwanza yenu haifikii kisumu infrastructure wise. Alafu hapo kwa tall buildings i guess ni juu ya geographical region hata arusha naona ina maghora ndefu kuliko mwanza as eldoret beats kisumu in tall buildings common sense pals
 
Aisee,hii kali kumbe Tanzania kuna matajiri hivi!???duh!




The CitizenNews
Tanzania is home to nearly 6,000 billionaires
FRIDAY NOVEMBER 05 2021


ADVERTISEMENT

By The Citizen Reporter
More by this Author

Dar es Salaam. There are close to 6,000 billionaires in Tanzania engaged in different businesses such as mining, industrial trade, financial sector, telecommunications, tourism and real estate. This was brought to light earlier today by Finance Minister Mwigulu Nchemba during a parliamentary session in the country's capital Dodoma.

According to the Minister, 115 of the 5740 billionaires have a net worth above $30 million, categorized as Ultra High Net Worth Individuals, and account for 28% of the total net worth of Tanzania's billionaires.

Nchemba was responding to a question raised by Mlalo Member of Parliament, Rashid Shangazi, and took the opportunity to further explain that the government through its revenue collecting authority TRA has a registry of most of these billionaires and collects taxes from them according to the law.

Africa as a continent is home to 140,000 billionaires, accounting for just 1% of the
global billionaires tally




The CitizenNews
Tanzania is home to nearly 6,000 billionaires
FRIDAY NOVEMBER 05 2021


ADVERTISEMENT

By The Citizen Reporter
More by this Author

Dar es Salaam. There are close to 6,000 billionaires in Tanzania engaged in different businesses such as mining, industrial trade, financial sector, telecommunications, tourism and real estate. This was brought to light earlier today by Finance Minister Mwigulu Nchemba during a parliamentary session in the country's capital Dodoma.

According to the Minister, 115 of the 5740 billionaires have a net worth above $30 million, categorized as Ultra High Net Worth Individuals, and account for 28% of the total net worth of Tanzania's billionaires.

Nchemba was responding to a question raised by Mlalo Member of Parliament, Rashid Shangazi, and took the opportunity to further explain that the government through its revenue collecting authority TRA has a registry of most of these billionaires and collects taxes from them according to the law.

Africa as a continent is home to 140,000 billionaires, accounting for just 1% of the global billionaires tally
 
Kuja ground utashangaa hiyo mwanza yenu haifikii kisumu infrastructure wise. Alafu hapo kwa tall buildings i guess ni juu ya geographical region hata arusha naona ina maghora ndefu kuliko mwanza as eldoret beats kisumu in tall buildings common sense pals
Unaongelea kisumu ipi!? Hii hapa kwenye picha!?😂😂🤣
Screenshot_20211106-071911.png
 
Kitu nimegundua most tanzanians go for old pictures of kenyan cities instead of current ones like most kisumu pictures they post are from the ninetees
 
Back
Top Bottom