Kenya ranks ahead of Tanzania in terms of Affordability and Quality & Safety of Food.
We only need to fix our mess by irrigation of arid and semi arid areas to improve on availability na tutaingia top 3 kwa hii list.
Kenya ranks ahead of Tanzania in terms of Affordability and Quality & Safety of Food.
We only need to fix our mess by irrigation of arid and semi arid areas to improve on availability na tutaingia top 3 kwa hii list.
Imeongoza kwa most improved ambayo Kenya ilikua number 3 pia, overall score mko number 6 with all the natural resources and good weather sisi tuko number 10 with minimal natural resources and harsh weather.
Nimesema Affordability na Quality & Safety of food. Nyie munatishinda tu kwa availability na natural resources ambayo inaeleweka ju mkona a lot of arable land na good weather.
Nimesema Affordability na Quality & Safety of food. Nyie munatishinda tu kwa availability na natural resources ambayo inaeleweka ju mkona a lot of arable land na good weather.
Kenya ranks ahead of Tanzania in terms of Affordability and Quality & Safety of Food.
We only need to fix our mess by irrigation of arid and semi arid areas to improve on availability na tutaingia top 3 kwa hii list.
MKURUGENZI Mkuu wa Baraza la zao la Mchele Tanzania, Winnie Bashagi, amesema taifa ina akiba ya ziada ya mchele zaidi ya tani milioni 2.1.
Akizungumza na UhuruOnline, Winnie, amesema tangu mwaka 2007 serikali iliacha kuagiza mchele kisha kuimalisha kilimo cha mpunga nchini ambapo wakulima walihamasika na kuongeza uzalishaji.
Alisema kila mwaka taifa limekuwa likizalisha kiasi kikubwa cha mchele, hivyo ni wakati wa kufanya biashara ya zao hilo nje ya nchi.
“Tangu mwaka huo 2007 taifa hatukuhitaji kuongezea mchele kutoka nje ya nchi kwani kiasi tunachozalisha ni kingi na kinatutosheleza kwa chakula na ziada,” alisema.
Alibainisha kuwa Tanzania imekuwa nchi ya nne kwa kuzalisha kwa wingi zao la mpunga ikitanguliwa na Nigeria, Misri na Madagascar.
Alieleza kuwa mataifa ya Afrika Mashariki na Kati yamekuwa yakitegemea mchele unaozalishwa Tanzania kwa kiasi kikubwa.
Winnie alisema kwa sasa mchele umekuwa ni zao la biashara ambapo baraza hilo limekuwa likisisitiza mchele kama dhahabu nyeupe kwani umekuwa na soko kubwa kimataifa.
“Changamoto iliyopo kwa sasa ni kuhusu mfumo mzuri wa soko la mpunga hasa kwa kutojua namna bora ya uuzaji wa mchele. Mfumo haujawa sawa, bado tunashughulikia ziada iuzweje na kwa namna gani, hilo ndio suala kuu,” alibainisha.
Naye, Ofisa Programu wa Baraza la Mchele Tanzania, Geofrey Rwiza, alisema ili kusafirisha mchele katika soko la nje, inabidi kuzalisha mchele bora wenye viwango vinavyotakiwa.
Rwiza alijata sifa zinazohakikiwa ili kukidhi ubora wa kimataifa wa mchele ni kuepuka mchanganyiko wa mbegu katika aina moja ya ujazo, kuepuka uwepo wa vitu visivyohusiana na mchele katika ujazo na kuepuka kiasi kikubwa cha uvunjikaji wa mchele. Na SCOLASTICA MSEWA, Dar es Salaam
Hata hiyo number 3 hawapo sababu hawawezi kuwa na uhakika wa chakula kuzidi waganda ambao siwaoni kwenye rank, Kenya ni ya mwisho kabisa kwenye hayo mambo
Linapunguza Distance kwenda Town kwa Miguu Ukitokea maeneo ya Uwanja wa Farasi. Mimi kwenda town kama sina haraka zangu napasuaga tu Hapo kati mpka Selander dk kadhaa nipo Red Cross nishaingia town. Narudi na njia hiyo hiyo nakua nimepiga tizi la nguvu na kazi nimefanya wakati mmoja na nimesave mafuta.
Taka Sifa nenda Town na Gari baada ya Saa nane, Distance hiyo utatumia masaa manne . Ni foleni ya Ajabu isiyosogea Hili Daraja sasa linaleta Maponduzo hapo. Al Hassan Mwinyi itabaki ya watu wa Tegeta tu, Wengi wa Oysterbay, masaki, Mikocheni B , Mbezi watavutwa wote huko na foleni labda itasabishwa kule baada ya Tanesco Mikocheni.
Ila huyu jamaa Don YF huwa ananiachaga hoi sana.. 😂😂, nimemwambia tuweke battle kati ya jiji lao la tatu kwa maendeleo KISUMU vs jiji letu la tatu kwa maendeleo Arusha, lakini mara apost nyumba za mashambani uko Eldoret, mara vitu tofauti tofauti 😂😂😂.. unaogopa nini wewe kukileta kijiji chenu chenye infrastructure (kalvat) moja yenye mnajivunia😂😂, nimekuomba tushindanishe kwanza kwa idadi ya ghorofa zenye floors zaidi ya kumi in both Arusha and Kisumu, kama tulivyofanya juzi kwa Nairobi vs DAR .. jamaa unapiga nduru mara ooh gorofa sio maendeleo .. sasa cha kujiuliza Kati ya kisumu na Arusha ni mji gani uko na uchumi mkubwa since Arusha is Tanzania's tourism hub .? 😂😂.. Kisumu+Eldoret=Arusha.. fala yoyote anaebisha twende ground
Wewe ni mpumbavu kweli 😂 😂 😂 😂 😂 .., sasa can u even compare Arusha to Kisumu eti? yaani mimi ni waste time yangu na wewe coz of TanzAnia nchi ya city moja.., Dar-kabul-slum! mnaipaka lipstick ndio ionekane lakini wapi, 😂 😂 😂 😂 .., kwingine tunapajua vizuri kaka, hiyo Arusha na Mwanza ni nini kipya utaleta kenye sijaona na kuchambua?, we've dealt with those two towns of yours kikamilifu you idiot, they are below par sasa uniletee vipicha kwa angle ya propaganda ili ujitekenye ndio iweje? ama unadhani mimi ni mshamba kama wa Mwanza wenzako?.., idiot, eti tuhesabu vigorofa nyambaff.., outside Dar and Kampala hakuna any other city in Tanzania na uganda period, inferiority complex inakusumbua, zoea ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.