but just know kisumu, by any standards is the leading city in EA interms of neatness and organization even ahead of chigali



Nafikiri Arena itajengwa Dar zen stadium itajengwa Dom.hii tender imetangazwa kweli, nimeshindwa tu kupata details zakeView attachment 2000350
Inategemeana na aina ya vita yenyewe. That is a conflict within a country. It's more or less like a civil war.
Kwa mfano kama ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe, askari wanabadili sides daily ili kusurvive. Kwa hiyo Jeshi lenyewe linakuwa haieleweki.Nipe sababu ya kushindwa kwa kila aina ya vita kwa kutegemea aina ya vita?
What is wrong with people cycling?
Hivi yule mkunya mwenzenu aliyesena kamtuma slum junior wake kuja dar ili apige picha za dar is slum kaishia wapi mbona kimywa Tony254 komora096 Don YFDefine facts? and in my conversation that ume quote, what is there that u doubt and will need it to be proven beyond any reasonable doubt?.., ama unaropokwa tu, bro, have a good night, take a rest for today kesho ni siku.



dyfre MK254Tuna masoko mengi na ya kisasa tatizo wanyonge hawataki kuzoea kufanya biashara zao sokoni, wanataka wafanyie barabarani yanapopita magari, upuuzi huu unatakiwa ufutwe kilazima, hatuwezi kuendelea na utaratibu wa kijinga na wa stone age km huu, likijengwa hilo soko kutakuwa na masoko makubwa ma4 hapo kariakoo na maeneo jirani, kutakuwa na Soko la zamani la kkoo, soko jipya, Kisutu market na Machinga complex, lkn bado wataendelea kufanya biashara barabarani.
Nashauri tutumie nguvu kuwaondoa barabarani na ikiwezekana jeshi litumike kuwaondoa, jeshi lifanye demonstration ambayo itakuwa fundisho kwa hawa watu wanaoharibu ustaarabu wa dunia ya sasa.



tutawalazimishaEritrea ijiandae maana adui kapata nguvu ,kama kuna kikundi kinapinga serikali ya eritrea basi sasa wamepata nguvu na wataungwa mkono na serikali mpya ya ethiopiawhat's going on here? someone give me some context
KaperinaumuKisumu c ndiyo hii inakaa Jerusalem ya YesuView attachment 2000313
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara hakuna mnapita wapi?Kisumu ni mji mkubwa sana most pictures huonyesha cbd pekee side ya lake kisumu imedevelop away from the lake just a picture here na hapo cbd hakuna and many other parts
View attachment 2000268
Wapumbavu sana awa kenge barabara ya njia 8 imekwama hakuna kinacho endelea HABARI YA CHINI YA KAPETI ZINASEMA SERIKALI IMEPATANA KWA SIRI NA MAKAMPUNI YA SIMU KUONGEZA GHARAMA ZA INTERNET ILI KUPATA FEDHA BAADA YA TOZO KUSHINDWA KUTOKANA NA WATU KUBADILI NJIA YA KUTUMA NA KUWEKA PESA ,,,,HIVYO KIKAO KIKAFANYIKA KUTAFUTA POINT AMBAYO WATZ AWAWEZI KUKWEPA KUITUMIA KWA URAHISI NDIPO WAKAPANDISHA MABANDO YA SIMU .Waache maneno mengi wafanye vitendo, tumechoka maneno bila vitendo, hapa nasubiri kuona mradi waliosema watafanya huu wa kariakoo ndipo nitawapima, Mana awamu hii naona imeanza kuleta maneno bila vitendo kama awamu zilizopita kabla ya awamu ya 5.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maumiv peleka ushago...apo kunya huwez pata vitu standard hii...katuuAlafu sasa, unaona?, only in Dar,.., outer ring Nairobi imeifunika tayari, mimi nilisema Tz ni nchi ya city moja tu mnakasirika, na interchange hazipiti tatu
kwingine ni mashambani ndio maana wengi mmekimbilia Dar-kabul-salaam, kwa sasa nina hisi mtakua watu 7million plus in that fishing village, hamna kwingine pa kuenda ku hustle
..,
Kumbe taa na umeme tayariJana jioni nilienda kushangaa tanzanite brigdeView attachment 2000392View attachment 2000393View attachment 2000394View attachment 2000396View attachment 2000397View attachment 2000398
,miradi ya jpm ndiyo inayo tusaidia kwenye huu uzi bado atujaona chochote cha huyu MJAMBIANI NI POROJO TU KAMA MCHAWIKwahyo jpm miezi 6 alikua ameshajenga kila kitu?akili za kimatope kama hizi sijui mnazitoa wapKumbe taa na umeme tayari,miradi ya jpm ndiyo inayo tusaidia kwenye huu uzi bado atujaona chochote cha huyu MJAMBIANI NI POROJO TU KAMA MCHAWI
😂😂😂, Huu ☝️ uchafu ndio ushindane na Arusha.?Kisumu ni mji mkubwa sana most pictures huonyesha cbd pekee side ya lake kisumu imedevelop away from the lake just a picture here na hapo cbd hakuna and many other parts
View attachment 2000268
Usiitaje Mwanza kabisa, KISUMU haziwezani hata na Arusha, kuna nini cha ziada hapo Kisumu cha kushindana na Arusha.? Nashangaa mara unataja Eldoret 😂😂 kijiji cha gorofa moja,unaakili kweli wewe.?Kuja ground utashangaa hiyo mwanza yenu haifikii kisumu infrastructure wise. Alafu hapo kwa tall buildings i guess ni juu ya geographical region hata arusha naona ina maghora ndefu kuliko mwanza as eldoret beats kisumu in tall buildings common sense pals
Weinaijua Mwanza wewe au unaropoka tu .?