Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utaumia sana my friend. Sisi tuna vifaa na medics. Tangu tuanze jana hakuna hata bongolala mmoja amepost vifaa kwa regional hospital zenu.
Ona hapa vile hadi level 4 zetu zinachapa kazi ya kishua.

Level 4 ndio kitu gani mwangu!?
Sisi hapa masuala hayo hatuyatumii.
Sisi tuna:-
1. Zahanati
2. Kitu cha afya
3. Hospitali ya Wilaya
4. Hospitali ya Mkoa
5. Hospitali ya kanda
6. Hospitali ya Taifa.

Usipende kukariri.
 
Level 4 ndio kitu gani mwangu!?
Sisi hapa masuala hayo hatuyatumii.
Sisi tuna:-
1. Zahanati
2. Kitu cha afya
3. Hospitali ya Wilaya
4. Hospitali ya Mkoa
5. Hospitali ya kanda
6. Hospitali ya Taifa.

Usipende kukariri.
Tumia hizo numbers umeandika utaelewa. It's the same arrangement in Kenya too.
 
TZ
Screenshot_20211104-194926.jpg


Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
Narudia kwa mara ya mwisho to all danganyikans all our county hospitals are equipped. We not only only post hospital buildings, tunawaonyesha how the facilities are well equipped. Hospitali ni vifaa plus skilled personnel.
Aliitisha Garissa County Hospital, sasa ametoroka after kupigwa na facts. We don't bark, we bite.
Sisi wanasaikology tumefafanua sentensi tumepata jibu kwamba unasumbuliwa na kitu kinachoitwa inferiority complex, na hii ni kwa Wakenya wote, mnajua kabisa kwamba tumejenga hospitali za kiwango nchi nzima, na mnajua kinachofuata ni kuzi equipe all hospitals with modern facilities, sasa mmebaki kuongea maneno ya kujifariji baada ya kugundua tumewapiga gape.
 
Sisi wanasaikology tumefafanua sentensi tumepata jibu kwamba unasumbuliwa na kitu kinachoitwa inferiority complex, na hii ni kwa Wakenya wote, mnajua kabisa kwamba tumejenga hospitali za kiwango nchi nzima, na mnajua kinachofuata ni kuzi equipe all hospitals with modern facilities, sasa mmebaki kuongea maneno ya kujifariji baada ya kugundua tumewapiga gape.
Ni vizuri umekua wazi, bado hamna equipments. Mungesema tu hivyo mapema badala ya kutusumbua hapa.
 
Mwenzako yupo na marais ulaya hko we endelea kumsimanga hapo gongo la mboto
Alafu best athlete of the year hayo sio maajabu, yani jamaa anapendwa kote kote ukitaka kujua nenda kw comments za video zake au post
Kwahiyo mtu kuwa popular World wide mpk nimtafute kwenye comments
 
Enyewe Africa bado tuko nyuma, lakini nikikumbuka Tanzania ni 1 per million najipatia hopes Kenya tunaelekea mahali. 😁😆

 
Bongolala hata hawajielewi, mtu alidhani tunafanya surgery ya kufunga kidonda sahii wameanza kushift goal posts, tunataka kuona vifaa vyenu kwanza.
usipoteze mda,unajisumbua kujifurahisha for nothing
 
Back
Top Bottom