Embu County Hospital wanafanya neurosurgery.
Dr Daniel Njeru, CEO & Neurosurgeon - Embu Hospital
Yani hamuani km hku mpka turkana hospitali zimejaa vifaa vya kibingwa kabisatatizo siyo kudanganya tatizo hata anachokizungumzia hakijui ila ubongo wake unamtuma kuwa anafahamu
kumbe haelewi chochote


Bwahaha!!km turkana ipo garissa inakosekanaje, nakwambia hivi vitu vipo kila county tena kw hela yetu yenyeweniletee ya Garissa nifute hii account yangu ya jamiiforum![]()
Mzee mbona wajidanganya mwenyewe tu. Huenda ujinga wako ndio sababu.Loadwar vile vitu viko hko huwezi amini mzeee..ingia kw account yao fb...
SampleView attachment 1998529View attachment 1998530
Turkana hyo, poleni sana ndugu zetu
Nimemletea turkana akapanic kuona vifaaBongolala hawajazoea hata CT scan or basic surgery kwa hospitali za mko lakini unaskia mtu akiropokwa ety Kenya mzima ikona MRI tano.
Kisii referral Hospital.
![]()
![]()
![]()


Bwahaha!!!lodwar hospital umekasirikaeee mpka ukaamua kwenda google kujifurahishaMzee mbona wajidanganya mwenyewe tu. Huenda ujinga wako ndio sababu.
Hebu check Hospital yenyewe
View attachment 1998537View attachment 1998538



Hii hosi inaperform surgery zile hospitali zenu mingi za mkoa haziwezi. Me bado nangoja mutuonyeshe vifaa kwa hospitali za mkoa.Mzee mbona wajidanganya mwenyewe tu. Huenda ujinga wako ndio sababu.
Hebu check Hospital yenyewe
View attachment 1998537View attachment 1998538
Kingereza hujui na kiswahili hujui!!!!!mumeumwa ndio nini?Waaaaa mumeumwa sana walai
😂😂😂🤣🤣
Hii Mzee haifikii hata Hospital za wilaya za Tanzania. Kumbuka Tanzania has 169 DistrictBongolala hawajazoea hata CT scan or basic surgery kwa hospitali za mko lakini unaskia mtu akiropokwa ety Kenya mzima ikona MRI tano.
Kisii referral Hospital.
![]()
![]()
![]()
Bado nangoja watuonyeshe vifaa, wametuonyesha tu vifaa vya National Hospital moja. Sisi hata National Hospital moja hatujaonyesha, za county tu na tayari washaanza kupanic.Nimemletea turkana akapanic kuona vifaa![]()
Taja Surgery wanazo perform hapo.Hii hosi inaperform surgery zile hospitali zenu mingi za mkoa haziwezi. Me bado nangoja mutuonyeshe vifaa kwa hospitali za mkoa.
🤣🤣🤣🤣Tunataka kuona vifaa wewe.Kingereza hujui na kiswahili hujui!!!!!mumeumwa ndio nini?
Bora hapa umejitahidi kuandika.🤣🤣🤣🤣Tunataka kuona vifaa wewe.
Heheeee!!jamaa unacheza reggea sasa, manake mada ya tano pekeake imewashindakama ipo kwann wakenya wote mmeshindwa kuileta.. leten ya Garissa nifute account yangu
Tunataka kuona vifaa kutoka chato referral hospital, sio kutwa kazi kujenga magofu tuTaja Surgery wanazo perform hapo.
Usilete za kufunga vidonda
This is lopiding subcounty hospital in Turkana, not even a county hospital.Taja Surgery wanazo perform hapo.
Usilete za kufunga vidonda
This is lopiding subcounty hospital in Turkana, not even a county hospital.