Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mshkaji huwa hujui kufupisha habari, huwa unaona ni bora kuandika maneno 10 yanayojirudiarudia kuliko kuandika kwa kifupi, inachosha sn.
Ni uzembe inakusumbua tu hakuna lingine., kusoma tatizo eti umechoka duh 😂 😂 😂
 
1636016005726.png
 
Mbio za km 10000?, labda asumbue Kenya but duniani atazungumziwa siku ya mbio tu
Mwenzako yupo na marais ulaya hko we endelea kumsimanga hapo gongo la mboto
Alafu best athlete of the year hayo sio maajabu, yani jamaa anapendwa kote kote ukitaka kujua nenda kw comments za video zake au post
 
nitarudi hapa baada ya masaa mawili
emoji23.png
.. naona bado hawajaleta.. naona wanaangaika na maposts na mavideo.. yani wataje ICU ila wasitaje MRI scan? pia wakose hata picha moja ya MRI Scan? ah
emoji23.png
Ungepata tu elimu kidogo ungejua kazi ya Radiology Department ni ipi na ni vifaa gani vinapatikana huko.

Do us a favour, hio masaa mawili ikiisha hata usirudi hapa. Tunapunguza wajinga kwa hii forum. 😂😂😂

Screenshot_20211104-120801.png
 
Ungepata tu elimu kidogo ungejua kazi ya Radiology Department ni ipi na ni vifaa gani vinapatikana huko.

Do us a favour, hio masaa mawili ikiisha hata usirudi hapa. Tunapunguza wajinga kwa hii forum.

View attachment 1998248

ndo nimerud.. ni masaa mawili sasa toka saa 4
jamen wameshindwa kuonyesha MRI scan iliyoko Garissa County Hospital ..walidai kila county hospital ina MRI scan.. sasa nimewaomba wanionyeshe tu iliyoko Garissa .. mpka sasa wakenya wote wameshindwa.. wameishia kupost articles za wanasiasa walevi wenzao zisizo hata na picha MRI scan.. achana na maneno ya kwenye gazeti.. hata mim naweza kuandika kwenye media/gazette kuwa health center yetu mtaani ina MRI scan .. bila picha hata video ni maneno bure.. kama MRI scan ingekuwepo ingekuwa fasta tu kuweka picha au video yake hapa..

wabongo, tuzingatie kuwa katika maneno kumi ya mkenya, msichukue hata moja!
Naomba nifunge mjadala wa kuhusu MRI scan kila county. Tuendelee na mambo mengine
 
ndo nimerud.. ni masaa mawili sasa toka saa 4
jamen wameshindwa kuonyesha MRI scan iliyoko Garissa County Hospital ..walidai kila county hospital ina MRI scan.. sasa nimewaomba wanionyeshe tu iliyoko Garissa .. mpka sasa wakenya wote wameshindwa.. wameishia kupost articles za wanasiasa walevi wenzao zisizo hata na picha MRI scan.. achana na maneno ya kwenye gazeti.. hata mim naweza kuandika kwenye media/gazette kuwa health center yetu mtaani ina MRI scan .. bila picha hata video ni maneno bure.. kama MRI scan ingekuwepo ingekuwa fasta tu kuweka picha au video yake hapa..

wabongo, tuzingatie kuwa katika maneno kumi ya mkenya, msichukue hata moja!
Naomba nifunge mjadala wa kuhusu MRI scan kila county. Tuendelee na mambo mengine
Wewe hakuna kitu unaweza tuambia, a country with only 2 radiology departments and 60 radiologists. Unatoa wapi nguvu ya kubishana.
 
Back
Top Bottom