Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani tuwazidi kwa ng'ombe alafu watuzidi kuzalishaa maziwa we uliskia wapi
Ukiwa na watoto wengi ndio utakuwa unasaidiwa sana sana kuliko na yule wa mtoto mmoja sio..
Wingi wa vitu sio wingi wa kuuza au hta kuzalisha, akili nanii..
Ma lazy mko poor in reasoning aisee
 
Yani wewe ndio unavuwezo mdogo sana wa ku reason, heb nenda kabishane na walevi wenzako vijiweni uko.. oya mzee Lwiva usimjibu tena huyu ndondocha (zangu zinaani)
Umetoka kapa mzee, hapo ukijibu umeumia

Jibu tuingie kwenye miamla ya wananchi hzi nchi zetu mbili (simu/benki), kampuni, pato la taifa, ...
Ndio manake umekwepa mzee, pole sana mwenzako Lwiva kagusa akaungua ikabidi asepe tu maskini wa Mungu
 
SoonView attachment 1995558View attachment 1995559View attachment 1995560
image_d105331b-754c-485b-9436-984bb7585c2c20211102_102440.jpg
 
Back
Top Bottom