Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Bandari ya Mtwara 👇.




























Mibongo hitawai fikia hatua hii hadi yesu arudi.Nairobi kama ulaya






















wacha uache ubishi maandazi...ilo jengo limeshakarabatiwa muda sanaWacha kupotosha umma. That building you posted above is not the sane as this one. Look at the surrounding areas then compare with the one you posted above View attachment 1994536
Mm nimemwambia kama anabisha basi nisafiri niache kazi niende posta nikalipige picha na km likiwa limekarabatiwa akubali kwamba yeye ni shoga, na humu tuwe tunamuita hivyo.Wewe
wacha uache ubishi maandazi...ilo jengo limeshakarabatiwa muda sana
Peleka upumbavu wako Kibera, kila mtu humu ndani anajua kwamba Kenya ni the failed state, hata wewe unajua hilo.You are such a child I'm amazed at your level of stupidity. Your genes shouldn't be allowed to propagate to another generation
Kwa ss Tz ndio ina export zaidi Kenya kuanzia finished goods mpk raw materials.Ninawashangaa sana wanasema wanauza Tanzania sijui yanauzwa wapi. Nimetembea mikoa yote Tanzania sijawahi ona maziwa toka Kenya.
So kuanzia leo story za maziwa zimeisha na hawatozileta tenaMimi niliwaambia leo wanipe majina ya maziwa yao yaliyojaa kwenye supermarkets za Tanzania hadi saa hii bado kimya.







Hiyo ya Dar unayopost ilijengwa mwaka Gani? Swali tu.Choo cha mkoloni vs the state house of the president of the United Republic of Tanzania, alafu usisahau tunazo mbili, moja tumejenga kwa pesa za ndani inaitwa the state to infinity iko Dom kama DomView attachment 1994939View attachment 1994940
Tunajenga mpya iko Dom ni kwa pesa za ndani unataka nikuoneshe?Hiyo ya Dar unayopost ilijengwa mwaka Gani? Swali tu.