President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Utakenua meno hadi lini bongolala?
Nimekuuliza nilitee brand mwanangu. Wewe unaleta link.Another blog
Sisi tunakunywa maziwa haya Gongo la mboto
View attachment 1994465
Utakenua meno hadi lini bongolala?
Nimekuuliza nilitee brand mwanangu. Wewe unaleta link.Another blog
Mbona dada yangu unakwepa swali langu!? Au unatumia toilet paper!?Kwn we watumia hzo
Hii sio ofisi ya VP TZ hiyo ilikuwa wizara ya nishati na madini enzi za Nyerere
Hahaha jaribu kutulia.Hii sio ofisi ya VP TZ hiyo ilikuwa wizara ya nishati na madini enzi za Nyerere
Ngoja nianze kukuumbua kidogo kidogo.
Google isn't an answer to every problem... That office was renovated years back
Alaaa!!kumbe uko vizuri na hyo sekta piaMbona dada yangu unakwepa swali langu!? Au unatumia toilet paper!?
Kama hungekuwa unataka maneno mengi hungetoa madai ya kijingaStaki maneno mengi tuendelee na discussion yetu, weka vitu bro, nimepost ofisi ya taifa ya Takwimu sijaona majibu
Hizi si kampuni za juzi tu jamani, mbna hampendi ukweliNimekuuliza nilitee brand mwanangu. Wewe unaleta link.
Sisi tunakunywa maziwa haya Gongo la mboto
![]()
![]()
View attachment 1994465
Wacha kupotosha umma. That building you posted above is not the sane as this one. Look at the surrounding areas then compare with the one you posted aboveGoogle isn't an answer to every problem... That office was renovated years backView attachment 1994525
Mbona basi ikaandikwa ofisi ya makamu wa Rais?Hii sio ofisi ya VP TZ hiyo ilikuwa wizara ya nishati na madini enzi za Nyerere
Hapa tumewapiga hands down.. au una la kusema.?
Hii ilichomeka, offisi zilihamia real towers.
This thing just expose how tiny nairobary isHehe,na si utaumia, imagine bado haijamalizika,iko 70%done,the one and only in Africa
View attachment 1993774





Sasa ni muda wako kutuonesha company za maziwa za Kenya.Hizi si kampuni za juzi tu jamani, mbna hampendi ukweli
Sina habari. Thanks for the infoHii ilichomeka, offisi zilihamia real towers.
Sitaki ofisi kuhamia jengo gani mimi, nataka jengo ambalo lilitengenezwa maalum kwaajili hiyo (wizara/taasisi fulani)Hii ilichomeka, offisi zilihamia real towers.
Milk ATMs zinatengezwa kenya acha uongo wako hapaMfano mzuri ni huyo nairobae, muda wote alikua anapiga kelele akisifia Kenya kwa kuwa na milk ATM na kukashifu Tanzania kwakutokua na hiyo mashine, nimemuonyesha kwamba huku Tanzania tumeamza kuzitumia miaka mingi kabla ya huko Kenya, tena huku kwetu ni mradi mdogomdogo wa wamama wa jua Kali, amefyata mkia Hana la kusema
Mmeanza kuongopa eeh.?Sina habari. Thanks for the info
Naambiwa hii hlitumika anymore. Kwamba shuguli zote zilahmisha Real Towers.Hapa tumewapiga hands down.. au una la kusema.?