Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Kwani hawangechagua location nyingine kando na hii? Looks like downtown NairobiKasirika hadi upasuke, nchi bado inaendeshwa ndani ya hiki kibanda na hakuna kitu utafanya.
View attachment 1993312
Kwani hawangechagua location nyingine kando na hii? Looks like downtown NairobiKasirika hadi upasuke, nchi bado inaendeshwa ndani ya hiki kibanda na hakuna kitu utafanya.
View attachment 1993312
Wewe huoni hilo gofu?Kibanda kipo wapi hapo hebu kioneshe.
Yetu haijafika hata hiyo 12 floors but the difference is like day and night.Twelve floors building unaita kibanda we mbwa kweli wewe.
Ghorofa imechakaa, hata sijui munahost wageni aje hapo bila aibu. Kama hamna rangi mujaribu mupake hata Kiwi.😂😂😂😂Kibanda kipo wapi hapo hebu kioneshe.
Ndiyo mmekuja kusaidiana ili kupotezea mada ya the biggest university library in AfricaYetu haijafika hata hiyo 12 floors but the difference is like day and night.










Kwahiyo Vice president ndio anaongoza nchi.Kasirika hadi upasuke, nchi bado inaendeshwa ndani ya hiki kibanda na hakuna kitu utafanya.
View attachment 1993312
Wewe gate man huna akili, mada ni tofauti na unachoongea.O
Ni upumbavu gani naongea? Nionyeshe basi ofisi yenu ya Rais tujue kati yangu na wewe nani mpumbavu
Mada ni Nairobi vs Dar. Kama unaumwa lamba chumvi.Ndiyo mmekuja kusaidiana ili kupotezea mada ya the biggest university library in Africa![]()
Nchi inaendeshwa ndani ya kibanda, soma tena kwa maakini utaelewa.Kwahiyo Vice president ndio anaongoza nchi.
Unataka battle tuingie ulingoni au una beep tu.? Okay chagua unataka buildings zenye zinajengwa Dom tu au na Zile za Dar pia .?Shida yako ni maneno. Post hizo buildings tuxione bradhee🤣🤣. Najua ukishindwa utasema tumefunga mjadala.🤣🤣
Mwiba imekuingia ipasavyo, lia damu 😂 😂 😂Wewe gate man huna akili, mada ni tofauti na unachoongea.
Biggest library yenye hutawahitumia wewe class seven dropoutNdiyo mmekuja kusaidiana ili kupotezea mada ya the biggest university library in Africa![]()
😂😂😂😂 serikali yao inaendeshwa kwa vibanda.Tanzania's Ministry of Finance building 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 1993396
Kenya's Ministry of Finance building
View attachment 1993400View attachment 1993402View attachment 1993403
Uje kutoka wapi? Gongo la Mboto?nyie wakunya nsubirini nije
We ni chizi sijawai kuona..kwani mm nimesemaje si nimesema tumepewa loan moja tu ya Standard Chartered..1.46bil usd..Mimi ambacho tunazozana ni kwamba phase 1 mnasema tumepewa 1.2bi kutoka Turkey ..ndo nataka unipe source ambayo sio gazeti lenu la the East African ..maana tunajua its a corrupt paperMulipewa Loan, wacha kulia. Hata iko kwa website ya Standard Chartered Bank.
We've arranged US$ 1.46 billion of financing for Tanzanian rail project | Standard Chartered
We've arranged US$ 1.46 billion of financing for Tanzanian rail project | Standard Chartered | Dar es Salaam, Tanzania. The Government of Tanzania Ministry of Finance has signed a facility agreement with Standard Chartered Tanzania for a US$ 1.46www.sc.com
mkulungwa wa Kundustan aka Mkulungwa wa kudownload Mapesa analalamika kuhusu CHINA AID utafikiri hajui kuhusu Kwao.
Angalieni hapa hadi Airport yao Equipment ni Msaada.
View attachment 1993229
Chuo Chao cha utafiti
View attachment 1993232
View attachment 1993233
View attachment 1993234




Ujui ethiopia wewe hiyo ni nchi kama kenya ya kikabila na kooo ...mfano kdf wakikuyu wakijitenga na kdf wajaruo ujue hayo ni majeshi kamili ....kinachotokea ethiopia ni kama kilichotokea china na taiwanJeshi kamili la Ethiopia ni ENDF.