Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Westlands
FB_IMG_16355105873751475.jpg
 
kuna kitu kinaitwa scheduled maintenance.. kwamba unapofanyia maintenance engine moja.. bas unaruhusu engine nyingine ifanye kazi ili umeme iwepo.. Kinyerezi 1 kuna engines/turbines 4.. ndan ya mwez mmoja zote zinafanyiwa maintenance ila mbili zinafanyiwa maintenance ndan ya wiki mbili (siku za weekends).. nyingine wiki mbili zilizobaki (siku za weekends).. engines mbili zinapofanyiwa maintenance, mbili nyingine zinafanya kazi kufua umeme..zitafanyiwa maintenance wiki zinazokuja.. sasa huyu jamaa anaposema hatufanyi maintenance katuvunja mioyo sana.. imefika mahal wanaomba aondolewe analeta ujuaji na siasa kwenye mambo muhimu .. hamna kitu.. ni bure kbsa.. ningeonyesha screeenshot watu/managers/engineers wa Tanesco wanavyomsema kwenye grup whatsapp ila sababu za privacy wacha nisitoe

Toa tuu tumuue tuu huyo kilaza naona ujuaji umezidi Sanaa
 
kuna kitu kinaitwa scheduled maintenance.. kwamba unapofanyia maintenance engine moja.. bas unaruhusu engine nyingine ifanye kazi ili umeme iwepo.. Kinyerezi 1 kuna engines/turbines 4.. ndan ya mwez mmoja zote zinafanyiwa maintenance ila mbili zinafanyiwa maintenance ndan ya wiki mbili (siku za weekends).. nyingine wiki mbili zilizobaki (siku za weekends).. engines mbili zinapofanyiwa maintenance, mbili nyingine zinafanya kazi kufua umeme..zitafanyiwa maintenance wiki zinazokuja.. sasa huyu jamaa anaposema hatufanyi maintenance katuvunja mioyo sana.. imefika mahal wanaomba aondolewe analeta ujuaji na siasa kwenye mambo muhimu .. hamna kitu.. ni bure kbsa.. ningeonyesha screeenshot watu/managers/engineers wa Tanesco wanavyomsema kwenye grup whatsapp ila sababu za privacy wacha nisitoe
😂😂😂😂😂au yule maza kwe bodi kaanza vitu vyake nn....
nawaza kwa sauti tuu🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Wasiwasi wangu ni msimu wa mvua kwenye hizi underpass. I hope wameweka siwege system nzuri.

Otherwise kutaja maji sana. Hi ni sababu moja wayo ya Dar es salaam kutojenga njia za chini ya ardhi, maana Dar ipo almost the same as sea level.
Unaongea kuhusu sewerage system wakati nusu ya Dar haina sewerage system hadi hata pale cbd yenu katikati!
 
Huwezi kuelewa kwasababu wewe umekariri neno democracy, baadhi ya makabila hapo Kenya mfano jaluo wanalalamika kukosa kutoa president mpk leo na kwamba rais anatoka makabila mawili tu, sitaki nikueleze zaidi ila kama hujaelewa kunya boga.
in democracy majority always wins thats why i said democracy is a double edged sword it cuts both sides....... it has advantages and disadvantages one of the disadvantages being minority will always loose
 
Advertisement screen kwenye majengo bongo pia zipo we zezeta 👇View attachment 1990955vs hiyo yenu yenye inakaa ushagoo👇View attachment 1990960mimi huwa siongeagi uongo we ma***ko. Njoo Don YF ucheke tena
We ni fala, Dar hakuna town square mounted with neon displays and and out door advertising billboards. Kama iko leta picha, wacha kulia. Mumejaribu kutafuta mumekosa, mwingine hadi analeta zile roadside billboards. 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom