Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Europe, no vumbi
JamiiForums1588642830.jpg
 
miradi yenu ilianza kujikokota mkulu alivyo kuwa hai., pesa zilimuishia na alikua amewadanganya na "kwa pesa za ndani" narrative, ilibidi a gag your media and independent research bodies ili ku control information asije aka aibika., pia uchumi wenu ni hafifu sana, meagre revenue na mahitaji ni mengi mno, hakuna yule anaye zuia miradi kuendelea, ma flyovers u/c yamesimama, hakuna wafanyi kazi., jiulize ni kwa nini? fedha zimeisha, usimsingizie mama wewe., Uhuru Kenyatta as far as I don't like him he has a team of technocrats, with professionals in relevant disciplines called; "presidential delivery unit"., who ensures delivery of president Kenyatta's promised projects, and development in line with vision 2030.., nyie walikua mashabiki tu..,
Licha ya kovidi kuja duniani mabeberu walikili kwa kusema tz na Ethiopia ndiyo nchi pekee africa uchumi wake haukuanguka ,pia mabeberu walitutoa kwenye kundi la uchumi wa chini kabisa baada ya magu kushika nchi sasa wewe unasemaje tulikosa fedha lini magu kakopa kwa ajili ya kulipa deni kama kenya
 
hii comment imezua mijadala sana TANESCO nzima..
watu wanasema huyu jamaa hana mda kwenye hii wizara ..
TANESCO kila mwezi wanafanya maintenance ila jamaa anasema walikuwa hawafanyi
comment yangu; jamaa anajidai na anaona anajua sana mambo


miaka 10 ya JK, maintenance zilikuwa zinafanyika ila bado kulikuwa na mgao mkubwa wa umeme
miaka 5 ya JPM, maintenance zilikuwa zinafanyika pia ila kulikuwa hakuna kukatika umeme.. hapa Jamaa anamaanisha mitambo zilisubiri/zilivumilia miaka 5 ipite (bila maintenance) ili zilete shida zilizopo saiz na ili yeye ndo afanye maintenance pia???
 
hii comment imezua mijadala sana TANESCO nzima..
watu wanasema huyu jamaa hana mda kwenye hii wizara ..
TANESCO kila mwezi wanafanya maintenance ila jamaa anasema walikuwa hawafanyi
comment yangu; jamaa anajidai na anaona anajua sana mambo


miaka 10 ya JK, maintenance zilikuwa zinafanyika ila bado kulikuwa na mgao mkubwa wa umeme
miaka 5 ya JPM, maintenance zilikuwa zinafanyika pia ila kulikuwa hakuna kukatika umeme.. hapa Jamaa anamaanisha mitambo zilisubiri/zilivumilia miaka 5 ipite (bila maintenance) ili zilete shida zilizopo saiz na ili yeye ndo afanye maintenance pia???
Ukisikia mama ana "unyamba mwingi" ndiyo hiyo
 
hii comment imezua mijadala sana TANESCO nzima..
watu wanasema huyu jamaa hana mda kwenye hii wizara ..
TANESCO kila mwezi wanafanya maintenance ila jamaa anasema walikuwa hawafanyi
comment yangu; jamaa anajidai na anaona anajua sana mambo


miaka 10 ya JK, maintenance zilikuwa zinafanyika ila bado kulikuwa na mgao mkubwa wa umeme
miaka 5 ya JPM, maintenance zilikuwa zinafanyika pia ila kulikuwa hakuna kukatika umeme.. hapa Jamaa anamaanisha mitambo zilisubiri/zilivumilia miaka 5 ipite (bila maintenance) ili zilete shida zilizopo saiz na ili yeye ndo afanye maintenance pia???

nlifikiri maintenance ni daily routine....
anajisahau sana huyu
 
nlifikiri maintenance ni daily routine....
anajisahau sana huyu

kuna kitu kinaitwa scheduled maintenance.. kwamba unapofanyia maintenance engine moja.. bas unaruhusu engine nyingine ifanye kazi ili umeme iwepo.. Kinyerezi 1 kuna engines/turbines 4.. ndan ya mwez mmoja zote zinafanyiwa maintenance ila mbili zinafanyiwa maintenance ndan ya wiki mbili (siku za weekends).. nyingine wiki mbili zilizobaki (siku za weekends).. engines mbili zinapofanyiwa maintenance, mbili nyingine zinafanya kazi kufua umeme..zitafanyiwa maintenance wiki zinazokuja.. sasa huyu jamaa anaposema hatufanyi maintenance katuvunja mioyo sana.. imefika mahal wanaomba aondolewe analeta ujuaji na siasa kwenye mambo muhimu .. hamna kitu.. ni bure kbsa.. ningeonyesha screeenshot watu/managers/engineers wa Tanesco wanavyomsema kwenye grup whatsapp ila sababu za privacy wacha nisitoe
 
Back
Top Bottom