Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Brochure ya Sanlam tower , Nashauri kila jengo lichunguzwe ipasavyo, Kamba nyingi sana😀
View attachment 1990277


wakenya hata sura zao zipo kifake fake tu
Brochure ya Sanlam tower , Nashauri kila jengo lichunguzwe ipasavyo, Kamba nyingi sana😀
View attachment 1990277


wakenya hata sura zao zipo kifake fake tuUnaweza kuniambia hapa ni wapi?Alooo
View attachment 1990901View attachment 1990902View attachment 1990903
Can you even compare that Kahawa West picture to these dreamhouses?

Huyo ni bogus, tena lile Boga la njano.hii comment imezua mijadala sana TANESCO nzima..
watu wanasema huyu jamaa hana mda kwenye hii wizara ..
TANESCO kila mwezi wanafanya maintenance ila jamaa anasema walikuwa hawafanyi
comment yangu; jamaa anajidai na anaona anajua sana mambo
miaka 10 ya JK, maintenance zilikuwa zinafanyika ila bado kulikuwa na mgao mkubwa wa umeme
miaka 5 ya JPM, maintenance zilikuwa zinafanyika pia ila kulikuwa hakuna kukatika umeme.. hapa Jamaa anamaanisha mitambo zilisubiri/zilivumilia miaka 5 ipite (bila maintenance) ili zilete shida zilizopo saiz na ili yeye ndo afanye maintenance pia???
Hii lazima imtoe.. Hivi na kenya kuna vyama vingapi vya mpira? Last time I checked hata ligi zilikuwa mbili..Nick Mwendwa is the worst thing to ever happen to Kenyan football. This guy is a total joke. Kazi ni kubana sauti kama mbuzi aliyenaswa na chatu
Kama Kawaida yako na vipicha vya kitambo, enzi hizo hakuna facebook wala wasapUnasumbuka na ya nairobi wakati hali ni tete kwenu, vumbi kila mahaliView attachment 1990917View attachment 1990918View attachment 1990919View attachment 1990920View attachment 1990921View attachment 1990922







Kwahiyo unatulilia sisi tufanyeje, tupake mate auNick Mwendwa is the worst thing to ever happen to Kenyan football. This guy is a total joke. Kazi ni kubana sauti kama mbuzi aliyenaswa na chatu







Flood inatokeaga hata Paris japokua hiyo sio excuse . We are supposed to improve drainage systemDrainage system ni changamoto in most African cities, Dar included
Shida ni kutaka kucritisize marehemu . Huu sijui utanzania wa wapi? Kila mwanadamu ana mapungufu yake sio busara kumuhukumu mtu haswa anapokua ametangulia mbele za haki.Huyo ni bogus, tena lile Boga la njano.
Huyo anataka kuwaaminisha watanzania kwamba marehemu alifeli lkn shida inakuja, je lengo la TANESCO ni kuhakikisha umeme unawaka au kufanya maintenance!? Kama lengo ni kuhakikisha umeme unawaka basi marehemu alijitahidi sana mana hakukuwa na kukatika katika kwa umeme licha ya kwamba kulikuwa hakuna maintenance kama yeye anavyojinasibu kusema.Shida ni kutaka kucritisize marehemu . Huu sijui utanzania wa wapi? Kila mwanadamu ana mapungufu yake sio busara kumuhukumu mtu haswa anapokua ametangulia mbele za haki.
Huyo mtu angekuwa mtu wa kwao "mtu wetu" wala asinge andika hivo.Kwahiyo unatulilia sisi tufanyeje, tupake mate au![]()



Anhaa kumbe co jaluo mwenzieHuyo mtu angekuwa mtu wa kwao "mtu wetu" wala asinge andika hivo.
Btw akina Mwendwa na mpira wapi na wapi!







Angalau jaluo ndio wapo vizuri kidogo kwenye mpira ukitaka kuona hilo wakiwa wanacheza angalia 11 yao utagundua hilo.Anhaa kumbe co jaluo mwenzie![]()
Huyu mtoto kwani ame like leo? Hii avatar ni tamu sana, sorry miss zuwena ila nimefanya ku imagine maneno ya bwana babayao255Huyo nikiona like ya Zuwenna halafu nichungulie avatar yake
Mzee joto la jiwe kaa pembeni tuachie vijana.




@Tony254 , komora096
Huwa napenda sana wasichana wanao jisitiri kama ZuwennaHuyu mtoto kwani ame like leo? Hii avatar ni tamu sana, sorry miss zuwena ila nimefanya ku imagine maneno ya bwana babayao255View attachment 1991146



Halafu huwa hanaga maneno maneno, kuna yeye na mwingine anaitwa nao wana akisi maana halisi ya mwanamke wa kitanzania, hawanaga maneno mengi kama mijanamke ya Kenya kina komora096 Magix Enga Janerose mzalendo angalau kidogo mwaswast
Halafu huwa hanaga maneno maneno, kuna yeye na mwingine anaitwa nao wana akisi maana halisi ya mwanamke wa kitanzania, hawanaga maneno mengi kama mijanamke ya Kenya kina komora096 Magix Enga Janerose mzalendo angalau kidogo mwaswast


