Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Wametapakaa kwa ajili ya kujituma, sio eti kwao kubaya. KCB iko in the process ya kununua Bank fulani huko Tz, inamaanisha kuna wakenya kadhaa watakuja kuendesha branches za hiyo bank huko - hiyo ni kujituma, sii kukosa. Kama vile Wachina, Walebanese na Wazungu walivyotapakaa Afrika - sio eti kwao hakuna - ni kujituma wamejituma.


siku zote shida ndiyo inayomfanya mtu atape tape na kutafuta pakutokea
msamvu