The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,873
- 82,537
Hakuna kiongozi aliongoza kutukanwa wazi wazi kama JPM cz alileta mabadiliko ya kweli hapa Tz yaliyowaumiza mafisadi na vibaraka wao, so JPM kutukaniwa mama ilikuwa ni kitu cha kawaida sn labda utake kukataa sahizi.leta evidence hao waliouwawa walimtukania Jiwe mama yake!
leta ushaidi hao walipotezwa roho walimtukania mama yake!Hakuna kiongozi aliongoza kutukanwa wazi wazi kama JPM cz alileta mabadiliko ya kweli hapa Tz yaliyowaumiza mafisadi na vibaraka wao, so JPM kutukaniwa mama ilikuwa ni kitu cha kawaida sn labda utake kukataa sahizi.
Btw nakuomba uwache huu ujinga mara moja, baki kwenye uchambuzi.
Niliwahi kuangalia video moja, jamaa akitoa povu tabia za wachina zinazomkera, mojawapo ilikuwa ni kutema mate.Usikutane na wachina sasa mbona utaishiwa pozi, hadi kwenye ndege wajuba wanatema mate
Nakuambia wacha huu ujinga, km uko kimaslahi hamna shida lkn tumia akili ktk kuwakwaza Watz walio wengi.leta ushaidi hao walipotezwa roho walimtukania mama yake!
Manji alitaka kuununua ufukwe wote huo, ili ajenge mahoteli ya kisasa, awamu ya tano ilimkatalia, kwasababu alitaka sehemu hiyo iwe private. Sheria zetu zinakataza hilo, kwa kuwa wananchi masikini (kwenye nchi yao) watakosa sehemu za kupumzikia na hii falsafa ni mawazo ya Nyerere aliyoyatoa mwaka 1956 kuhusu sheria za ardhi.Hivi Coco pamekosa Mwekezaji wa kutransform hilo eneo kweli? Jiji wameshindwa kufanya?
Inaonekana kama ni temporary solution au kuna watu wamepiga pesa, unakumbuka ule mpango wa kujenga park, sambamba na ujenzi wa hiyo barabara (daraja), wakati wa Magu?Still This is not right,
Pale panarakiwa kuwa modernized
Ako ka cbd ni kma tu kijito nyama
Akuna hata cha kunishtua apo ...vipi nikiweka hvii...kwani ww utashtuk?
Ako ka cbd ni kma tu kijito nyama
Mimi nilishawaambia achaneni na hii maneno maana hata aandike nini haziwezi badilisha chochote.Leo nipo na wewe so be careful cz kuna watu wanaakili sn humu JF wamesema tuachane na snitches ila natambaa na wewe leo, ss niambie 7bu zilizokufanya umsifie JPM kipindi yuko hai zen uanze kumponda kipindi amekufa, hujioni kwamba wewe ni mtu wa ajabu?
Kila siku nawaambia hata hawaelewi wakati wakiendelea kujibizana hivi hawatokaa wafikie muafaka zaidi ya kuvuruga tu huu uzi.Mkuu nakushauri achana na huo mjadala, huyo jamaa anapenda sana ligi na inaonekana ni mzee fulani retired so ana muda wa kutosha kueneza chuki 24/7 humu..
In fact huo mjadala wa kisiasa hauna faida yoyote kwenye huu uzi, Tujikite kwenye battle yetu pendwa.
We still have a job to do, Bado hatujawaonesha wakunya the greatness of Dar and the Tz at Large
Mm huwa sikatishiw maneno kwa mbele kaka...kwaiyo ulikuwa unamanisha kibera ndio jini linalo kumiza sanaaa mind you iyo sio slum peke mkonayo apo kunya land...so chill broo...subiri gither ikamilikeNairobi West estate along Mombasa road vs Dar is slum residential., tofautisha.., Justinr bado sijaona any residential around your CBD that can come any closer to Nairobi west estate.., umejaribu kuponda lakini wapi., pengine utafute Kibera uweke humu ikuliwaze tu,
View attachment 1978773
VS
Alisikika mlevi mmoja akisema.Ako ka cbd ni kma tu kijito nyama
Ivi unawezaj kuongelea Dar ikiwa hiki ndio kinairobary?...zaidi ya msitu mzito akuna majengo kabisaaNairobi West estate along Mombasa road vs Dar is slum residential., tofautisha.., Justinr bado sijaona any residential around your CBD that can come any closer to Nairobi west estate.., umejaribu kuponda lakini wapi., pengine utafute Kibera uweke humu ikuliwaze tu,
View attachment 1978773
VS
Mkuu nakuheshimu sn hata wewe unajua hilo.Mimi nilishawaambia achaneni na hii maneno maana hata aandike nini haziwezi badilisha chochote.
Kwanini mnaangaika kureply comments zake wakati hazibadilishi chochote!
Embu acheni hizi maneno.
Mko wengi wewe na nani? Wapuuzi kama nyie mkikwazika ni burudani tosha.Nakuambia wacha huu ujinga, km uko kimaslahi hamna shida lkn tumia akili ktk kuwakwaza Watz walio wengi.
Yes, sema achaneni na hayo mambo kuna option ya ignore & block...zitumie hizo zitakuweka mbali na hizo mambo.Mkuu nakuheshimu sn hata wewe unajua hilo.