The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kuna mtu naona kama ka comment alafu kafuta, hana hamu kabisa na huu uzi nowadays 









































Hahaha Hao wakunya weliweka hivyo vi pavements nairobi walipiga kelele sana humu na vipicha..View attachment 1971188View attachment 1971189mchongo umeshamalizika, tabaka la pili la lami limeshawekwa, bado kuchorwa tu, huenda mwisho wa mwezi wa kumi na moja au Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na mbili, huu mchongo utakua active.. Kenyans stay tuned mana mtajua hamjui
👏👏👏👏👏👏👏👏Mambo mengine hayakuhusu unaachana nayo.
Karibu Sana!!Uzi umepata member mpya, karibu sana dada ntazana ntazana.View attachment 1971285
Wakenya picha mpya hii hapa kaleta Bwana Sama boy 255 zikiletwa takwimu za fukwe zenye kuvutia Africa msije kusema hatukuwaambia
Courtesy: Sama boy 255
View attachment 1971276
Dongo Lekundu likowapi mkuu.Sema hapo coco ilo dongo kundu linafaa liondolwee chapu kwa haraka maanake linatiaa kichefuchefu
Dongo Lekundu likowapi mkuu.
Anhaa mana nilitaka kushangaa mkuu coastal zone na red soil wapi na wapi.Wakandarasi wamemwaga vifusi fusi vya udongo kwenye bichii
UnanifurahishaUzi umepata member mpya, karibu sana dada ntazana ntazana.View attachment 1971285
Karibu sana.Unanifurahisha
HahahaMambo kwa ground.
Mambo kwa ground.