Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Just to give you all information about Samia’s presidency tenure, is that the current one is her first phase (2021-2025), and the second and last phase, if she will vie for, constitutionally will be 2025-2030 only. Naona kama mnakubaliana na huyu boya kuhusu 2030-2035
Hakuna aliyekubaliana na huyo mbwa sema huwa tunamuona kama chizi humu.
 





MY TAKE
Najiuliza huu ujumbe unawalenga watu wa kabila lipi ambao wamefanya makosa halafu wakatolewa wakaamua kucheza kadi ya ukabila?
 
We are going to witness a rapid boost on social services which is crucial to the real development ..inayogusa wanachi wengi kwa Mpigo...Magu Alianzisha kwa majengo..the equipments are now following ..plus majengo mengine mengi kama EMDs na ICU
Kumbe magu kajenga maghofu tu
Geza Ulole tulikwambia sana wakati ule km nyie mnajenga maghofu lkn ukabisha sana, umeona sasa mumeumbuka...

Kumbe hata hela yenywe mlikua hamna
 





MY TAKE
Najiuliza huu ujumbe unawalenga watu wa kabila lipi ambao wamefanya makosa halafu wakatolewa wakaamua kucheza kadi ya ukabila?
Hakuna kabila linalolengwa hapo, hiyo ni inferiority complex aliyonayo mama ambayo anaitoa kwenye mitandao kwamba anapendelea wazanzibari. Kuna baadhi ya mambo ya kwenye mitandao aachane nayo.
 
Back
Top Bottom