Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So nn, sisi ndiyo furaha yetu kwamba wametii, Kafrican kaleft na wakunya wote hawataki kabisa kusikia habari za comparison ya SGR
wewe unavyowatoa amani wabaki ili iweje? Mimi kuna thread mbili tu ambazo nilishaambiwa miradi haitatekelezwa electrical SGR Tanzania na EACOP! Yaani EACOP ikianza kujengwa rasmi Wakunya watakuwa hawana cha kuongea humu! Yaani mpaka nika-adopt slogan ya Museveni siku Uhuru alipokataa kusaini Kenya kujiunga na EACOP baada ya kutangazwa pipeline itapita Tanga!
 
wewe unavyowatoa amani wabaki ili iweje? Mimi kuna thread mbili tu ambazo nilishaambiwa miradi haitatekelezwa electrical SGR Tanzania na EACOP! Yaani EACOP ikianza kujengwa rasmi Wakunya watakuwa hawana cha kuongea humu! Yaani mpaka nika-adopt slogan ya Museveni siku Uhuru alipokataa kusaini Kenya kujiunga na EACOP baada ya kutangazwa pipeline itapita Tanga!
Mm ushahidi wa comments zao kuhusu EACOP nnazo nasubiri utekelezaji tu wataleft humu wewe subiri tu
 
Wewe ni kama kunguru tu huna faida yoyote hata ukifa, kwanza unachafua mazingira kwa flying toilet mbwa wewe
Magu ndiye bure kushinda kunguru maana ashakufa
Screenshot_20211011-185705.jpg
 
Back
Top Bottom