Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa kazidiwa kaamua kuachie matusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimesema nimpotezee Tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado unateseka mzee[emoji1787][emoji1787]
 
Eti Roads na Engineering ni vitu viwili tofauti, umelewa au upo kwenye mpini sahizi.
Wapi nimesema roads mzee, umeshachanganyikiwa tayari..
Alafu elimu yenu mbovu sana aisee, viwango na engineering ni vitu viwili tofauti sana
 
Taja kiongozi wa Kenya ambaye hana elimu ukitoa Kenyatta snr. Yani wewe ni fala mno, eti unajaribu kuitenga elimu na maisha hivi ni fala wa wapi wewe, do you really know the meaning of Education? Eti unaongea kabisa ukikutana na profesa wa Kenya anaongea mpk unasikia raha, kwahiyo ambao hawaongei ila wanatenda sio wasomi!? Nyie wakenya labda masomo ya Arts tu angalau kidogo mnaweza kushindana na cc na ndiyo maana ukasema profesa wa Kenya ansongea sn ni nature ya elimu mliyochagua 99% (Arts)
Bwhaha!!professor wa kenya ni level nyingine kabisa mzee, ukiskia mtu anaitwa professor kenya mkalie pembeni manake atakupiga vitu vizito ukaugulie mbele..

Kw mfano kamsikilize gavana nyongo kule kule kisumu alafu ukamlinganishe ba kabudi mtoa mimacho alafu urudi hapa
 
Wapi nimesema roads mzee, umeshachanganyikiwa tayari..
Alafu elimu yenu mbovu sana aisee, viwango na engineering ni vitu viwili tofauti sana
Hakuna maana yoyote ya kuendelea kuku quote na hizi pumba unazoziwasilisha.
 
Bwhaha!!professor wa kenya ni level nyingine kabisa mzee, ukiskia mtu anaitwa professor kenya mkalie pembeni manake atakupiga vitu vizito ukaugulie mbele..

Kw mfano kamsikilize gavana nyongo kule kule kisumu alafu ukamlinganishe ba kabudi mtoa mimacho alafu urudi hapa
Profesa anayetoka form anaingia chuo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1139][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Mimi nimeona ni jambo zuri ku-state clear kwamba kampeni yake si ya Kikabila!
 
Profesa anayetoka form anaingia chuo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1139][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]
Umekimbia mada[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakwambia hivi, mchukue gavana nyongo na kabudi tuwaweka hapa ili tupate kuwalinganisha[emoji1787][emoji1787]
 
Yani kusema wewe mzanzibar basi ndio umekosea[emoji1787][emoji1787]
Watu wa bara mnateseka sana walai..
MAMA CHAPA KAZI. VILAZA WOTE WA BARA MWAKA HUU WATANYOOKA
 
umeona post yangu kule? Isome!
 
umeona post yangu kule? Isome!
Point yangu ni kwamba leo kazingua, aachane na haya mambo, sasa anasema Zanzibar hakuna makabila zen anaanza kutaja wakojani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ofcz Mama aendelee kuweka mkazo kusoma but asiwe anatoa kichwani cz kutoa kichwani ni kipaji pia wala c uwezo wa mtu na co lazima kiongozi awe na kipaji hicho.
 
Mwamba kanyea Kambi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211011-144039.jpg
 
Mwamba kanyea Kambi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1971065
ila mbona namuona akifanya digital marketing! Huyu alie-comment ajue pia core business model ya JF pia ni more of social interraction platform cum media freedom NGO, sasa huwezijua sheria za serikali zinasemaje au donors/backers wanaom-support hata kwenye yale matatizo yake yakesi kipindi cha JPM wataendelea kama akibadili core business policy yake? Kutunza data inahitaji secured servers ambazo gharama zake si za kitoto na navyojua mimi JF server zake zipo Ujerumani! Na sababu ilikuwa kuhepa privacy infringment ya GoT kwa users kama mnakumbuka swala la uhalali wa .com domain ukilinganisha na GoT ilichokuwa ikilazimisha yaani .tz domain. Kiufupi haya yote yanakwamishwa na sera zetu mbovu za TCRA haswa kipindi cha JPM na hata sasa mabadiliko hayajafanyika!

CC: Maxence Melo
 
Mimi sijakebehi mtu ila nimeeeleza hali halisi! Mbona mtu akitaja facilities za Chato kuhudumia kanda mnageuza maneno? Si ndo plan ilivyokuwa?
Plan ipi ndugu?

Such a plan can't be hidden and there is no public consensus on possible validity of these rumors largely disseminated by your likes.

Such, only exists in the evil minds filled with hate and ONLY HATE.
 
Back
Top Bottom