Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna kabila linalolengwa hapo, hiyo ni inferiority complex aliyonayo mama ambayo anaitoa kwenye mitandao kwamba anapendelea wazanzibari. Kuna baadhi ya mambo ya kwenye mitandao aachane nayo.
Sukuma gang lazima mnyooke
 
Hakuna kabila linalolengwa hapo, hiyo ni inferiority complex aliyonayo mama ambayo anaitoa kwenye mitandao kwamba anapendelea wazanzibari. Kuna baadhi ya mambo ya kwenye mitandao aachane nayo.
Ingia jukwaa la siasa halafu angalia wanaolialia na mabadiliko ya mama wanatokea kabila lipi?
 
Ingia jukwaa la siasa halafu angalia wanaolialia na mabadiliko ya mama wanatokea kabila lipi?
Sasa aachane na mambo ya mitandao, kelele hazikosekani, haya mambo ya ukabila hapa nchni hayana nafasi na wala haijafika hatua ya kiongozi mkubwa kuyasema hadharani, kulalamika kupo ila mkuu anaposema vile ndiyo anapelekea kuyaamsha. Yeye apige kazi, kama ni mfuasi wa mitandao hamna Shida ila ya mitandao ayaache mitandaoni.
 
Sasa aachane na mambo ya mitandao, kelele hazikosekani, haya mambo ya ukabila hapa nchni hayana nafasi na wala haijafika hatua ya kiongozi mkubwa kuyasema hadharani, kulalamika kupo ila mkuu anaposema vile ndiyo anapelekea kuyaamsha. Yeye apige kazi, kama ni mfuasi wa mitandao hamna Shida ila ya mitandao ayaache mitandaoni.
Mimi nimeona ni jambo zuri ku-state clear kwamba kampeni yake si ya Kikabila!
 
Sasa aachane na mambo ya mitandao, kelele hazikosekani, haya mambo ya ukabila hapa nchni hayana nafasi na wala haijafika hatua ya kiongozi mkubwa kuyasema hadharani, kulalamika kupo ila mkuu anaposema vile ndiyo anapelekea kuyaamsha. Yeye apige kazi, kama ni mfuasi wa mitandao hamna Shida ila ya mitandao ayaache mitandaoni.
Km nyie mnampiga vita, yani aachane nayo ila nyie sukuma gang muendelee sio
 
Umetema pumba sana mzee, elimu na uongozi wapi wapi..hvyo vyote ulivyotaja vinaendana na hulka ya watu au jamii, kiongozi bora haletwi na elimu mzee...

Kwhyo hizi tantarira peleka kwenu chato, uwezo wa elimu yetu ni mkubwa sana ndio manake 844 inatambulika kote duniani..

Elimu yenu mbovu, ndio manake kila kuchao kwenu vimbwanga sio viongozi sio wasomi nyote pumba...
Kenya huwezi kuta professor anatema pumba, kenya ukikutana na msomi kweli kweli kweli utapenda mzee kutoka ideas kila kitu jamaa anakujenga mpka unaskia raha...ila tz msomi bado unamkuta anachamba watu insta
Taja kiongozi wa Kenya ambaye hana elimu ukitoa Kenyatta snr. Yani wewe ni fala mno, eti unajaribu kuitenga elimu na maisha hivi ni fala wa wapi wewe, do you really know the meaning of Education? Eti unaongea kabisa ukikutana na profesa wa Kenya anaongea mpk unasikia raha, kwahiyo ambao hawaongei ila wanatenda sio wasomi!? Nyie wakenya labda masomo ya Arts tu angalau kidogo mnaweza kushindana na cc na ndiyo maana ukasema profesa wa Kenya ansongea sn ni nature ya elimu mliyochagua 99% (Arts)
 
Back
Top Bottom