Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Jitahidi kuongea vitu unavyovijua tu, ndio uungwana, vitu usivyovijua jitahidi kuuliza uambiwe.. kuongea uongo ni dhambiDeni? Ama rubani alikwangua rangi ndio ikashikwa na trafiki
Ndege sio za atcl bali ni za GOT, yani wenye madeni na tz wote wanazikulia timing..
Endelea kukopa nje sana tu, manake external debt yenu kuna siku niliiona mpka nikasikitika..yani nchi haijiwezi



kwa mujibu wa Job Ndugai..afu sehem kubwa zitarud huko kwao kwenye ununuzi wa baadhi ya vitu)