Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tunatumia very sophisticated financing models siku hizi PPP ambayo nyie hamjwahi kusikia. Mtakuja kutumia PPP baada ya miaka ishirini ijayo, wakati uchumi wenu utakuwa mature kama yetu.
Hahahaha, PPP is the last option out of three model of financing Government projects
1) Government finance
2)Loan/Grants
3)PPP(It is used when a country is no longer able to get loan/grants
 
Tunachotakiwa kuelewa ni kwamba kuna Utanganyika na Uzanzibar kabla ya Utanzania.
Screenshot_20211009-164626.jpg
 
Ndege zenu zinaozea kwenye hangars na unapiga makelele hapa. Afadhali wenye wana ndege za mikopo ila zinapiga routes.
Ndege zenu zinapiga route and still zinatia hasara mara kumi ya hasara tunayopata sisi kwa kuziweka ndani tu ndege zetu, kitu kingine za kwenu zitaendelea kuwaumiza since karibu ndege zote ni za mkopo, ilas sie tukianza kupata route nyingi nje za uhakika basi ujue ni faida mwanzo mwisho, huku ndugu zetu mkiendelea kupata hasara bado mkiendelea kudaiwa... Nikuulize nani kati (kenya/Tanzania) anatengeneza/atakua na kesho (future) nzuri.?
 
Inawezekana hawa wakenya waliwahesabu mpaka watalii ambao walipita hapo kwao NAIROBI kuja Bongo kutalii, nowdays jamaa wamestuka hawataibiwa tena, wanakuja na direct flights mpaka Tz.. kuna athari tatu zitawakuta wakenya ambazo ni
1.idadi ya abiria kwenye viwanja vyao vya ndege itapungua
2. Idadi (number) ya watalii, waliokua wakirecord kila mwaka itashuka kwa kasi
3.mapato ya kwenye utalii ya vikampuni vyao uchwara vilivyokua vikiwadalalia watalii waliokua wakipitia kwao ili kuja Bongo yatashuka na baadhi (kama sio vyote) ya vikampuni hivyo vitafungwa 😂😂😂... Cheki maneno 👇
 
3 weeks tu ishikwe Canada 😄😄😄alafu zenye zimebaki mwanikie mpinga
We ni mpuuzi sana, katika vitu ambavyo nyie wakenya mnatakiwa muogope zaidi ni sisi kuwa na ndege zetu, miaka minne tu nyuma abiria wengi wa tz waliosafiri kimataifa walitumia ndege zenu pamoja na uwanja wenu wa ndege wa kimataifa JKIA.. Sisi kuwa na ndege zetu inamaana ya kwamba, watu wetu watakaosafir kimataifa watatumia ndege zetu na viwanja vyetu vya ndege .. hii inatueleza ya kwamba KQ pamoja na viwanja vyenu vya ndege vitakua vimekosa soko letu na hivyo kupoteza mapato ... Me nilijua wakenya mngeliangalia hili kwenye angle hiyo eti we unaandika ujinga unacheka 😂😂😂 hivi hata mnaakili nyie wapumbavu.?
 
Leo nlikua nacheki cosafa, aisee hawa dada zetu wako so organized jambo ambalo tunalimiss upande wetu. Tungekua organized na kutuliza akili kama dada zetu tungekua mbali sana
Huko Kwa wadada hakuna mambo ya uSimba na uYanga.. Ndio maana wako organized na Kuna team spirits.

Hao vijeba Kwanza kuanzia viongozi wa federation, wa timu na walimu wanabebwa na siasa za hizi timu mbili... Interest yao kubwa ni kufurahisha wanachama wa hizi klabu mbili. Sio kujenga timu ya taifa na kukuza soka letu.. Bure kabisaa..
 
Back
Top Bottom