Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,885
- 103,746
Marehemu Mkapa au JK hapo hakunji! Au huyu jamaa 👇huyu mzee mwinyi, 95 au 96yrs.. kwa jinsi hata alivyokunja na kuukalia mguu..inaonekana bado ana nguvu za kuishi muda mwingi.. wazee wengi umri huo wanakaa kwa kushikiliwa kwa umakini![]()
unashangaa hilo? account ya Kilimanjaro airport na wizara ya maliasili na utalii hawaja-update ujio wa Edelweiss leo mpaka sasa na waziri alikuwepo uwanjani! sasa sijui watalii wakitaka kuja Tanzania wana-google wapi kupata relevant information ? The power of social media bado ni suala tete sana kwa hawa wakuu! Nadhani Diamond inabidi awapige msasa wakiwemo Azam fc!acc ya azam fc twitter haiko active mda.. sijui wanalijua hilo![]()
Yaani ukikatiza tu border kuingia Kenya tayari unahesabika kama mtaliiIla wakenya wanapikaa dataa Sanaa aisee , hawa wajamaa ndio wanasema wanapokea watalii wengi kutuzidi kwa mwaka, Nmekuja kugundua wengi wao sio watalii ni wafanyakazi wa UN wanakuja kikazi, kazi zenyewe ni kutoa misaada ya chakula na makazii ndio maana ndege za Un za misaada ni nyingi sana Kenya, zinatua isiolo international airport na kisumu sanasana, kwa sababu ukiangaliaa kwenye mapato ya utalii tumewazidi Ila wao wametuzidi kwenye watalii![]()



Mbona omba omba wamejazana tu huku kutoka nchi jirani na wote wanasema hawajaesabiwa Kama watalii😄😄😄Yaani ukikatiza tu border kuingia Kenya tayari unahesabika kama mtalii![]()
Rwandair nao wana ndege za mikopo! Rudi 2023 halafu uone tukipindua meza kibabe na ndege 16 na by that time KQ itakuwa ine-operate less than 20 aircraft!ata level ya air Rwanda mjafikia na mnapiga kele Kama Wenda wazimu🙆🙆🙆
Ndege zenu zinaozea kwenye hangars na unapiga makelele hapa. Afadhali wenye wana ndege za mikopo ila zinapiga routes.Rwandair nao wana ndege za mikopo! Rudi 2023 halafu uone tukipindua meza kibabe na ndege 16 na by that time KQ itakuwa ine-operate less than 20 aircraft!
Yaani ukikatiza tu border kuingia Kenya tayari unahesabika kama mtalii![]()





Hakuna nchi inaweza nunua ndege 10 kwa mpigo kwa pesa yake hapa Africa, Uganda wamekopa, Kenya hata mikopo hamuwezi tena siku hizi lazima muingie PPPNdege hata Uganda wananunua, it's not a big deal.




Kenya is a Country being run by food donations without which life is almost impossible for most of your citizensTanzania is a country being run by donations and grants. Juzi mlipewa donations to fund your education system yet you are all here making noise.