Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kunayo mwenye aliwahi sema eti hapa ni Dodoma. is it true waTz!? 😆😆
images.jpeg
 
wadau, eti hiki kilaza hapa ichoyo, ana try ku compare hii inefficiency na thika superhighway!.. hio vita wacha niwachie NewMembers wachangamke pia nawao
Barabara yenyewe haina service lanes. Shoddy engineering haitaspur growth along the road bila service lanes. Alafu mbona 16km away from dar kunakaa ushago ivo?
 
Munaelekea nyinyi au anaelekea mchina kumaliza na kuweka toll zake pale 🤣🤣🤣 uhehehe ndivo kenyataa alivowadanganya nyinyi kwamba ni ppp kwa mlango wa nyuma

Pain iko pale kwenye toll za mchina kwa miaka 30 na mbaya zaidi nimeskia kuna amount imeongezeka 7b ksh sijui atamilikia over 40 yrs 🤣🤣😇😇
Kwanini wasingesubir mwaka 2045 wakipata hiyo pesa ya kujenga huu mradi ndio wajenge.? Kwasababu ndio ingekua ni kipindi ambacho huu mradi ungewaletea faida zaidi since utakua ni government owned... Sasahiv huu mradi utawaumiza wananchi wao na kumfaidisha mchina tu.. au kasi ya utendaji wa magufuli ndio ilimfanya KENYATTA afanye maamuzi ya hovyo Ili kusudi watu wake waone they still stronger than us.?
 
Barabara yenyewe haina service lanes. Shoddy engineering haitaspur growth along the road bila service lanes. Alafu mbona 16km away from dar kunakaa ushago ivo?
Usongee vitu usivyovijua service lanes zipo, zipo interchange, zipo overpass
 
kuna nin hio kesho

Chini ya hilo bango wameeleza "UTEKELEZAJI WA ILANI 2020-2025". Naona chama kinakwenda ku-review utekezaji wa ilani ya chama ulipofikia na probably kupanga au kuboresha mikakati ya utekelezaji wa ilani ya chama chao.
 
Kshs 185 Million Nairobi's Footbridge Raises Concern As Kenyans Spot This New Problem Of The Bridge.

Oct 9, 2021 11:09 AM

Inorder to pave way for the construction of Nairobi Expressway,the Kenyan government undertook a rigorous process of building footbridges from where the expressway will be passing. One such bridge that was built was the GM footbridge that has now raised concern among Kenyans.

Soma zaidi hapo chini:


A foot bridge cost has left me speechless. Upigaji plus shoddy works.

Screenshot_20211009-125551_Opera.jpg
 
kampuni ya India inayotengeneza magari ya TATA imepewa bid ya ku’operate’ Air India, lkn hatamiliki ndege hata moja ya Air India.. same to your KQ.. kuoperate 40 aircrafts sio kwamba zinamiliki zote
Nimegundua kitu kimoja hawa majirani humu wengi wao elimu duni mawazo yao ya kijua kali sana ni wachache I can count 2 or 3 ambao wanaona vitu in their perspective.
 
Hii kituu inawala kichwa Sanaa bado hawaamini kwamba walipigwa
Hapo wanafikiria sana sijui wangoe reli watandike upya ya uzito wa axle 35tons pia wafanye iwe continuous welded na kuweka electric infrastructure lakini common sense inakataa mkopo haujalipwa bado na reli inaelekea kuwa a white elephant. Inauma sana lakini hivi vitu usikie tuu kwa jirani visikukute.
 
Hapo wanafikiria sana sijui wangoe reli watandike upya ya uzito wa axle 35tons pia wafanye iwe continuous welded na kuweka electric infrastructure lakini common sense inakataa mkopo haujalipwa bado na reli inaelekea kuwa a white elephant. Inauma sana lakini hivi vitu usikie tuu kwa jirani visikukute.
Ile ufala uko nayo ata mama hawezi kuokoa. Reli yenu Arema standard yani kama Ethiopia. Inabeba 17m . Itafail, ni muda tu.
 
Hapo wanafikiria sana sijui wangoe reli watandike upya ya uzito wa axle 35tons pia wafanye iwe continuous welded na kuweka electric infrastructure lakini common sense inakataa mkopo haujalipwa bado na reli inaelekea kuwa a white elephant. Inauma sana lakini hivi vitu usikie tuu kwa jirani visikukute.

Ingekuwa bongo hapa watuu wangesusa kupanda, yani mtuu aache kupanda basi linalotembea 80 - 120 km kwa saa alafu ni luxury akapande huo utopolo wa 80km alafu nauli ni karibu na sawa Acha utanii jamanii 😅😅😅
 
Hapo wanafikiria sana sijui wangoe reli watandike upya ya uzito wa axle 35tons pia wafanye iwe continuous welded na kuweka electric infrastructure lakini common sense inakataa mkopo haujalipwa bado na reli inaelekea kuwa a white elephant. Inauma sana lakini hivi vitu usikie tuu kwa jirani visikukute.
CC: Teargas, komora096 n Tony254
 
Back
Top Bottom