ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mulidanganywa na kenyatta ni ppp hebu nioneshe ni kiasi gani kenya imechangia kwenye huo mradi na ni kwan mchina ataimiliki kwa miaka 30 na kwann yeye ndio atakua mchukuzi wa toll fee🤣🤣🤣🤣🤣Sisi tunatumia very sophisticated financing models siku hizi PPP ambayo nyie hamjwahi kusikia. Mtakuja kutumia PPP baada ya miaka ishirini ijayo, wakati uchumi wenu utakuwa mature kama yetu.