Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ndio ulikuwa unasema chanjo ni mbaya kwa sababu Magufuli alikuwa anasema chanjo ni mbaya. Sasa mama anasema chanjo ni nzuri sasa pia wewe umebadilika na kusema chanjo ni nzuri. Kweli wewe ni CCM damu. CCM wakisema uruke kutoka ghorofa la ishirini nadhani hutasita. Chukua msimamo. Aidha chanjo ni nzuri au ni mbaya amua kitu kimoja usitapetape.
Weka post yangu yoyote niliyopinga chanjo enzi za Magufuli, ukionyesha nitatoka hapa JF
 
watu wana-mentality za ajabu sana eti makampuni ya kutengeneza chanjo yanataka kufanya biashara as if tunaweza ku-afford hizo dawa sisi kapuku! Mpaka sasa dozi zote zimetolewa bure kupitia misaada!
Nyerere alisema ili nchi yoyote iweze kuendelea inahitaji Mambo 4
1)Watu
2)Ardhi
3)Siasa safi
4)Uongozi bora

Africa tatizo kubwa ni watu, sisi waafrika ni wavivu Sana kufikiria, tunapenda kuwatupia lawama wazungu hata Pale ambapo hawahusiki, sababu kubwa ni kukimbia jukumu kubwa la kufikiria ufumbuzi wa matatizo yetu, tunapenda "shortcuts" za maisha, ndio sababu tunakimbilia katika nyumba za ibada na kwa waganga kwenda kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya kisayansi.
 
Alafu hizo pesa huwa mnafanyiaga nini.? Mana hata kutengeza 10km road mpaka mkope.. au KRA imeongeza sifuri.? Coz as we talking right now Tanzania iko na miradi mingi U/C ya serikali mara kumi ya miradi yote inayofanywa na serikali ya Kenya, je ni uongo kwamba uchumi wenu upo kwenye makaratasi tu.?
For examples; bajeti ya kenya for education last year ilkua around $5b wakati ya Tanzania haikufika ata $2b...............alafu kusema Tanzania ina miradi nyingi kushinda kenya ni porojo tu, you can't prove it. Ukiangalia budget estimates mwaka huu both Tanzania na kenya zinapanga kutumia each around $6b kwa infrastructure na pia kenya ina county governments ambazo zina revenue na miradi yake yenyewe. Kawaidi ya mtanzania, maneno mengi bila proof
 
Nikusaidie kidogo.., tafuta budget ya Kenya uisome uone allocation of funding kwa sectors tofauti, utaona pesa inaenda wapi na huwa hazitoshi bado, tuko na mengi ya kufinance, kama tu budget ya elimu pekee ni zaidi ya development ya Tz.., wacha ku expose your ignorance kaka, wenzako ndiyo walikurupuka hivyo nawe bila ya kuchunguza unakurupuka kama vilaza wenzako.,
Jamani sasa kati yetu mimi na wewe nani kilaza.? Vitu vya maendeleo ni vitu vinavyoonekana kwa macho, sio kwenye maandishi wala domo tupu.. kijana usiwe mpumbavu, kumjua maskini na tajiri ni ujuzi ambao hauhitaji hata shule.. Kwanini tuongopeane kwenye makaratasi, naakati tuna macho ya kuona vitu kwa ground.. tuneweka battle mara ngapi humu ndani, kulinganisha gvt schools za KE na Tz, na tumewapiga hands down, sasa hizo namba za kwenye budget huwa zinatumika kufanya nini.? ... Wajinga kama wewe, Magufuli aliwatimua.. maneno mengi na figures ambazo haziakisi uhalisia kwa ground nao ni utahira
 
For examples; bajeti ya kenya for education last year ilkua around $5b wakati ya Tanzania haikufika ata $2b...............alafu kusema Tanzania ina miradi nyingi kushinda kenya ni porojo tu, you can't prove it. Ukiangalia budget estimates mwaka huu both Tanzania na kenya zinapanga kutumia each around $6b kwa infrastructure na pia kenya ina county governments ambazo zina revenue na miradi yake yenyewe. Kawaidi ya mtanzania, maneno mengi bila proof
Hiyo miradi mingi mnayoifanya nyie wazee wa kuongeza sifuri iko wapi mbona tusiione.? Au ni miradi hewa.?
 
Tatizo sio kukusanya ila hizo hela unaenda kuzitumia wapi hapo ndio shida inapoanzia nadhani umenielewa vizuri.
Nyinyi tu ndio mlisema kwamba Uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi kwamba hatuwezi kukuasanya kodi kama hii kwa sababu tunapika vitabu. Sasa kama tunapika vitabu basi tunawezaje kukusanya kodi kubwa hivi?
 
Jamani sasa kati yetu mimi na wewe nani kilaza.? Vitu vya maendeleo ni vitu vinavyoonekana kwa macho, sio kwenye maandishi wala domo tupu.. kijana usiwe mpumbavu, kumjua maskini na tajiri ni ujuzi ambao hauhitaji hata shule.. Kwanini tuongopeane kwenye makaratasi, naakati tuna macho ya kuona vitu kwa ground.. tuneweka battle mara ngapi humu ndani, kulinganisha gvt schools za KE na Tz, na tumewapiga hands down, sasa hizo namba za kwenye budget huwa zinatumika kufanya nini.? ... Wajinga kama wewe, Magufuli aliwatimua.. maneno mengi na figures ambazo haziakisi uhalisia kwa ground nao ni utahira
Sasa huu upuzi wa battle ya vipicha ndio unatuimia kama kipimo wewe idiot? niondolee ufukara wako wa kimawazo, tafuta size yako mkajadiliane kule vijiweni, ona ulivyo ignorant, yaani nyie fukara hadi ndani ya fikra zenu, rudi shule wacha shabiki za kijinga.., Tanzania tumeifumania ya kutosha hauniambii lolote wewe, hadithi za vijiweni baki nazo, don't be blinded by your stupid patriotism,.,
 
Nyinyi tu ndio mlisema kwamba Uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi kwamba hatuwezi kukuasanya kodi kama hii kwa sababu tunapika vitabu. Sasa kama tunapika vitabu basi tunawezaje kukusanya kodi kubwa hivi?
Kodi unakusanya sh ngapi kwa mwaka na madeni unalipa sh ngapi kwa mwaka na unakopa sh ngapi kwa mwaka kujazia budget weka hizo taarifa kwanza ndio tuanze seminar elekezi.
 
Hivi unajua hao ndio watu wanaotumika na jubilee kueneza propaganda
Kenya sio Tanzania eti jubilee itumie mtu kueneza propaganda, with a liberal media na watu who have independent mindsets kwa tweeter propaganda haina maisha Kenya., hatuna uzalendo wa kijinga kama watanzania., eti mtu akisema ukweli ama mabaya ya taifa lake yeye ataambiwa sio mzalendo, upuzi mlio nayo nyinyi ni wa kipekee., 😂 😂
 
Sasa huu upuzi wa battle ya vipicha ndio unatuimia kama kipimo wewe idiot? niondolee ufukara wako wa kimawazo, tafuta size yako mkajadiliane kule vijiweni, ona ulivyo ignorant, yaani nyie fukara hadi ndani ya fikra zenu, rudi shule wacha shabiki za kijinga.., Tanzania tumeifumania ya kutosha hauniambii lolote wewe, hadithi za vijiweni baki nazo, don't be blinded by your stupid patriotism,.,
Zako ni hizo tu, unadhihiridha ni uongo na upuuzi kiasi gani ukonao, eti upuuzi wa battle ya vipicha 😂😂😂, kwahyo unataka tuende na battle ya maandishi mnayoandika wenyewe.? Unajiskia lakini.? Nani Kati ya mimi na wewe ni idiot.? Nikuulize humu tunashindanisha maneno na maandishi au tunashindanisha vitu vinavyoonekana kupitia picha na video.? Usitake nikudharu, rudi kwenye mstari leta hoja..
 
Kenya sio Tanzania eti jubilee itumie mtu kueneza propaganda, with a liberal media na watu who have independent mindsets kwa tweeter propaganda haina maisha Kenya., hatuna uzalendo wa kijinga kama watanzania., eti mtu akisema ukweli ama mabaya ya taifa lake yeye ataambiwa sio mzalendo, upuzi mlio nayo nyinyi ni wa kipekee.,
Nenda katafute waimba taarab wenzako muje mtumbuize ama leo wamekutuma mwenyewe uje uwawakilishe!
 
Hiyo miradi mingi mnayoifanya nyie wazee wa kuongeza sifuri iko wapi mbona tusiione.? Au ni miradi hewa.?
Nyie ndio mnatoka porini, mambo mengi tulifanya, na bado tunaendelea, nyie bado mnajenga miaka nenda miaka rudi, miradi haikwishi, expressway itakamilika mbele ya miradi mingi ya Tanzania., sitashangaa serikali ya tanzania uikianza ku sign mikataba ya ppp hivi karibuni, nilisoma kwenye gazeti lenyu sometime this year...,
 
Back
Top Bottom