Hujaelewa, huyo co msema kweli bali anachuki binafsi, anachofanya yeye ni kuudhi watu na kuharibu battle, am 100% sure hata nyinyi Wakenya mmegundua kwamba huyo ni mwehu ndio maana huwa hamumsapoti.
Kwa mfano anaweza akamsifia Samia kwa mradi fulani akiona Watz wamekaa kimya na wamefurahi yeye huwa anachukia cz yeye lengo lake ni kumtukana Magufuli tu, so anapoona watu tunapost miradi aliyoanzisha Magu anaumia sana anaona marehemu anafaidi.
Eti mwehu kama huyo anaweka bifu na mtu wa kipekee kama Magu, isitoshe Magu mwenyewe hayupo kwa ss [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]