Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkenya akiweka Basi Kama hili linalomilikiwa na club yoyote ya mpira bahama JF 🇹🇿🇹🇿💪 kumbuka ni 14m long!
FB_IMG_1633266821996.jpg
 
Majority ya watanzania hutumia maji chooni lakini husikii diarrhoea, kenya mnatumia makaratasi kutokana na hamna maji ndio maana kila siku diarrhoea mpaka odinga alipata diarrhoea juzi juzi
At least wakenya hawaguzi mavi yao kwa mkono unlike danganyikans
 
Tra leo imetangaza imekusanya tsh trillioni 5.151(sawa na $2.2b) kwenye robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022
View attachment 1961549
kwa kulinganisha ;kra ilikusanya ksh 476 billion(sawa na $4.3b) in the same time period


A difference of $2.1b in the first 3months of the financial year
Pia tra ilikua na ufanisi wa 94.3% wakati kra ikiwa na ufanisi wa 103.2%
We really need to up our game ..what percentage of your budget..or by how much is will.you spend on development projects this year?
 
Yani kuhangaika kote huko ndo unaleta picha hizi

Picha ya kwanza sina uhakika kama ni Dar lkn hata kama ni Dar inaonesha jamaa alikuwa anachota maji kwa ajili ya kumwagilia maua au bostani yake, unaweza kuona jamaa yuko poa kabisa, msafi anang'aa so hawezi kutumia maji hayo kwa kuoga.

Picha ya pili ni ufunguzi wa mradi wa maji which means hapo shida ya maji ishatatuliwa
 
Eti wakuu huyu jamaa anaweza kuoga maji ya kisima huyu, angalia ngozi yake kama black America, nywele nyeusii zinaonesha kukubali chakula bora anachokula
JamiiForums569446858.jpg
 
Mtu anamwagilia bostani yake watu wanaleta picha eti shida ya maji, tangu lini Dar ikawa na shida ya maji
 
Diarrhoea diarrhoea diarrhoea cholera cholera cholera


ASSOCIATION BETWEEN WASH-RELATED BEHAVIORS AND KNOWLEDGE WITH CHILDHOOD DIARRHEA IN TANZANIA
 
Back
Top Bottom