chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,121
Ni kipi huyu beberu anakitaka Tanzania? Leo ni mara ya 2 yupo Dodoma katika kipindi cha miezi mi4 naona upigaji hapa
Ni kipi huyu beberu anakitaka Tanzania? Leo ni mara ya 2 yupo Dodoma katika kipindi cha miezi mi4 naona upigaji hapa
Vipofu wawili wanashikana mikonoHahahaha, hahahaha, hahahaha, dying horses, why not with Ethiopia Airline which is the closest neighbor and most profitable Airline in Africa?
Ajira kwa watanzania
Naona udenda unatoka hapo😃😃😃
Kwa kuwa hivyo ni vitu vidogo vidogo, hakuna nchi iliyowahi kuvamiwa kwasababu ya kuwa na Peace index ndogo.Mbona hili swali hatuliulizi katika vipengele vingine Kama vile "Peace index?" au "Corruption perception index"" au " Economic reports" zilizoiweka Tanzania katika kundi la "Middle income countries?.
Nafikiri huelewi hiyo "demokrasia" ni nini.Kwa miaka yote Tanzania imekua ikiongoza katika kipenge cha Demokrasia, wengi tulikua hatuhoji, ila kipindi hiki tumeambiwa kwamba huko hatufanyi vizuri, tumeamza kulialia, katika kipengele cha demokrasia hatukufanya vizuri.
Narudia tena, "demokrasia" ni kwao kufanya wanavyotaka, believe me "they don't care about us" (Michael Jackson).Kupanga ni kuchagua, tuliamua kujenga uchumi kwanza kwa gharama ya kufifisha demokrasia, ninadhani ni maamuzi sahihi, wakati mwengine ninayaunga mkono pia, ila tusikatae
Mambo ya kuambiwa, changanya na yako - JKtunapoambiwa hatufanyi vizuri katika upande huo.
Nieleweke niko upande wa Nyerere wakati wote, ila kusema alifuata "demokrasia" wakati alivunja vyama vingi na kuamua TANU pekee ndiyo kiwe chama na kuwahamisha watu kwenye vijiji vya ujamaa, hiyo ndiyo demokrasia?Nyerere alichagua kuanza kujenga demokrasia kwanza, matokeo yake uchumi uliyumba Sana, hatukupinga tulipokua tunawekwa katika kundi la nchi masikini zaidi duniani (LDC), lakini ktk demokrasia tuliwekwa juu Sana, vipi Sasa hivi katika uchumi tunawekwa juu lakini ktk demokrasia tunawekwa chini tunalalamika?
Hamna huwa nawa enjoy tu mkuu ili wanielewe vzrMkuu, mbona wakenya wameamza kukuteka?, Mbona unaanza kutumia Kiswahili Chao kibovu?![]()




Sawa mkuu Kama mlikubaliana ngoja nifute komenti yangu.uangeachana nae tu.. hayo mambo tulikubaliane tuyaache humu
Wakenya wababaishaji sn yani hii road wanaipitisha sehemu zingine wanafosi ili tu wapate view lkn waapiii goma limekataa






Tangu lini 3 level ikaibuka tu ghafla, yn ilimradi na nyie mshindane na TzWacha niwaonyeshe proper 3 tier interchange. One amongst many. View attachment 1957326






some of those interchanges were built before you knew interchanges or flyovers might one day exist in your country,,so cool your two balls😄😄😄Tangu lini 3 level ikaibuka tu ghafla, yn ilimradi na nyie mshindane na Tz![]()
![]()
Ile maombi ya siku tatu na kujifukiza na kitungu saumu vipi😄😄😄
Naona unaugua kwa wivu. Pole sana. Jipake rob rafiki utapona.Wakenya wababaishaji sn yani hii road wanaipitisha sehemu zingine wanafosi ili tu wapate view lkn waapiii goma limekataa![]()